VITU MUHIMU VYA KUZINGATIA KWENYE KUBET✍️✍️✍️

VITU MUHIMU VYA KUZINGATIA KWENYE KUBET✍️✍️✍️

UtdProfile_

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2021
Posts
255
Reaction score
314
1. JIFUNZE KURIDHIKA.
Mchezo wa Kubashiri, ni moja katibya mchezo wenye matamanio na wenye mvuto mkubwa sasa, Sasa brothers, wawekezaji, Jifunze kuridhika kile ulichokipata Baada ya Kubet Usibet kwa Tamaa, Utapunwa nakuambia.

2. STAKE KIASI AMBACHO UNAUWEZO NACHO.
Usistake kiasi kikubwa for beginners, anzaa na Stake za Chini tu, kama 2000, 5000 nk .

3. CHAGUA ODDS SAHIHI.
Kwenye Betting lazima uwe na mikakati ya kuchagua Jumla ya Odds, ambazo utakuwa na uwezekano wa kumla mrusi. Mfano bet kuanzia Odds 2, 3, 4,5 mpaka 10. (Ni ushauri tu kama unaweza kuandaa treni kazi kwako).

4. CHAGUA WATU MUHIMU WA KWENDA NAO KWENYE HII SAFARI YA KUBET.
Tafuta washikaji 2 au 1 ambae ana ufahamu kuhusu bet (betting professional), nenda nae, muombe ushauri, na hakikisha unamsikiliza pale anapokupa ushauri. Acha kuhama hama leo kwa Huyu kesho kwa yule.

5. FINAL, BETTING NI PROBABILITY, Maana ake kuna Kupata na Kukosa, hivyoo unatakiwa kukubaliana na matokeo yeyote kwenye Slip Yako.

🔞🔞 PERSON UNDER 18 years OLD ARE NOT ALLOWED🔞🔞
Bet Kistaarabu, ✍️✍️✍️✍️
 
NAMSHUKURU MUNGU.
Hii dhambi yakucheza kamali sijawahi kuifanya.

VIJANA WANAPOTEZA PESA KUPITIA HUYU SHETANI KAMALI.
Kama ni kwa maneno makali kiasi hcho wala huna faida ya kuwashauri vijana,unamwita shetan mwajiri wa vijana?ur not serious aisee,kuna watu/wananchi wanasomesha na kiendesha maisha kwa kubashiri afu from no where jamaa unakuja kuwadiscourage kweli!njoo na solution ya vijana kupata ajiri ili waendeshe maisha yao,hata kinafiki tu kua motivational speaker to them atleast iwe ni ukweli usiowezekana.
 
Kama ni kwa maneno makali kiasi hcho wala huna faida ya kuwashauri vijana,unamwita shetan mwajiri wa vijana?ur not serious aisee,kuna watu/wananchi wanasomesha na kiendesha maisha kwa kubashiri afu from no where jamaa unakuja kuwadiscourage kweli!njoo na solution ya vijana kupata ajiri ili waendeshe maisha yao,hata kinafiki tu kua motivational speaker to them atleast iwe ni ukweli usiowezekana.
Ahsante Sanaa masta, ni bonge la points
 
NAMSHUKURU MUNGU.
Hii dhambi yakucheza kamali sijawahi kuifanya.

VIJANA WANAPOTEZA PESA KUPITIA HUYU SHETANI KAMALI.
Je pombe na anasa mi kuliko niende club kunywa pombe na kuvuta shisha na uzinzi Bora nibet mana naweza kubet nikiwa kazini nikiwa nyumbani na nakula vipesa vya kununua simu mpya na mambo mengne
 
LEO KUNA MECHI ZA KUTOSHA KWENYE LIGI ZIFUATAZO......👇👇👇👇👇
1. England- EFL cup mechi -29
2. Uefa Champions qualifications Mechi-7
3. Europa qualifications mechi-1
4. South Africa premier league
Mechi-2
5. Women world Cup mechi-2
6. Club friendly Mechi - 16
IMG_-ss2jz0.jpg
 
Back
Top Bottom