SUAL LA KUKAA NA NA WATOTO SI MCHEZO
Kumbe walimu wanfanya kazi kubwa sana mashuleni
Sasa natowa heshima zote kwa walimu,naahidi sintachelewesha ada ngo'
Salute walimu wangu🙏
Kumbe maisha ni kula na kunywa vizuri mengine ni mbwembwe. Unaweza kuwa na hela ukafa njaa ukiwa lockdown. Lockdown ya shambani haina madhara kama ya mjini.