Vitu vinatukwamisha Taifa kusonga mbele, bali yakipungua mambo haya Tanzania ingekuwa tupo mbali mno

2.kutumia kiswahili shuleni
4.uchawa


Naunga mkono hoja

Kuna mamtu hayampendi chura kiziwi ila yanaendekeza uchawa ili yapate teuzi
 
Kama kuna sehemu nimetukana, naomba niwie radhi!

Lakini unaposema unaendeleza sekta, anayodumaza nguvu kazi ya Nchi, ina kuwa a grace in disguise.

Taifa letu bado linajitafuta, humani resource inahitajikq sana ku push up maendeleo, na sio watu kushinda vijiweni kujadili mpira.

Au nyie mnavaa miwani myeusi hamuoni yanayoendelea kwa watu hasa vijana??
 
Kuna watu wanabisha, sijui wao wanaishi wapi? wanakuja kulinganisha England na TZ.

Simba na Yanga ni Cancer dhidi ya maendeleo ya Nchi.
Taifa ambalo aaubuhi badala ya kusikiliza ya Dunia ni uchambuzi wa michezo😁😁
 
Ivi unawezaje kufanya comparison ya Marekani na Tanzania!?

Nimeshindwa kuelewa dhumuni lako kabisa,
 
Taifa ambalo aaubuhi badala ya kusikiliza ya Dunia ni uchambuzi wa michezo😁😁
Yan mpaka huwa najiuliza, idara yatu ya Ujasusi katika auchumi imeamua kupotezea au ndio wameamua liwalo na liwe, acha liende mbele kwa mbele
 
Kazi ya serikali ni kuweka mazingira ya kukuza biashara, kuwekeweza kwenye public and merit goods.

Mengine ni wewe sasa kuusoma mchezo unahitaji elimu ya aina gani to maximise your chances of employability in the future.

Shida moja ya elimu ya Tanzania ni kutokuwa na ofisi ya ‘career advice’ kuanzia form four kwenda juu ili wanafunzi waende picha halisi ya combo wanazotaka fanya A level, halikadhalika wanafunzi wa A’level kupewa picha halisi ya job market ya hizo shahada wanazotaka kufanya na employability chances.

We unakurupuka tu na shahada lako umechagua mwenyewe una kazi unataka kuilaumu serikali how come.

Unatakiwa ujipange.

Wafanya biashara sawa wanaweza lalamikia mambo kama kodi etc ambayo yana fanya mazingira yao kuwa challenging.

Iła wewe una mbinu za ushawishi tatizo Simba na Yanga; huo sasa utoto.
 
Taifa letu bado linajitafuta, humani resource inahitajikq sana ku push up maendeleo, na sio watu kushinda vijiweni kujadili mpira.
Mkuu ni wapi hapo watu wanashinda siku nzima wanajadili mpira na hawafanyi shughuli zingine...

Kijana wa bodaboda, muuza genge, muuza duka, mkulima akijadili Simba na Yanga uchumi wake unaathirika vipi?

Ninachokiona hapa ni wewe kutamani kila mtu afikiri unavyofikiri wewe.
 
Au nyie mnavaa miwani myeusi hamuoni yanayoendelea kwa watu hasa vijana??
Mimi sioni shida...

Kwasababu Tanzania ni nchi ya kidemokrasia, watu hawajapenda michezo kwa kulazimishwa, wameshawishiwa..

Ukitaka wajadili siasa kila siku, washawishi.
 
Mayor, hapa umeelewaka vizuri, Hakuna namna unaweza kunexclude roles of gvt kwa watu wake.

Na umekiri kuwa bado kama nchi hatufanyi vizuri kwenye kutengeneza mazingira kwa maeneo niliyotaja kwenye moja ya post zangu hapo juu.

Simba na Yanga, ni tatizo katika uhalisia huu; watu hawafanyi kazi za kujiingizia kipato badala yake wanaishia kujadili mpira wa simba na yanga. au mpira kwa ujumla.

Na hili, kwa Dar ni almost kila sehemu, radio hasa FM radio takribani zoote mapeema asu buhi ni mpira.

Impact yake nini!?
1. Watu wanakuwa na mawazo ya mpira tu, hivyo kushindwa kubuni njia anuai za kujipatia kipato ( Psychological problem)

2. Watu kukosa moral ya kufanya kazi hasa timu yao inaapofanya vibaya ( Stress)

3. Kushindwa kujadili kuelewa sera, hatua na mchango wa wancanchi katika maendeleo ya taifa ( collective responsibility in dvl).

4. Nchi kukosa dira sahihi ya maendeleo, kwakuwa hakuna msukumo wa wanachi katika kutimiza malengo kusudiwa.
 
nakuunga mkono kwenye simba na yanga maana nimewahi kuwaambia wanangu kuwa hii simba na yanga ina wabrain wash wasahau kuhusu nchi yao walinipinga vibaya sana wengine kidogo tuzichape
Lakini hili la Simba na Yanga linatumika pale Kiongozi anapokuwa "dhaifu" na wengine wameongezea "wasanii"
 
Good Morning
 
Watu wanajadili simba na yanga asubuhi hadi jioni, hawana agenda ya maendeleo au muelekeo wa taifa lao.

Unategemea nini nchi kama hiyo! wananchi hawana mawazo mbadala ya maendeleo!
Swali ni Moja nani aliekuambia anataka maendeleo unayoyaongelea kati ya hao wanaojadili simba na yanga
 
Swali ni Moja nani aliekuambia anataka maendeleo unayoyaongelea kati ya hao wanaojadili simba na yanga
Hufahamu maana ya collective responsibilty!?

Wao wakiugua matibabu watayapata wapi!? na huko watakapoyapata public health facilities zimepatikanaje?

Maswali ni mengi ambayo utaishia kujibu kirahisi tu kuwa, " wao wamekuambia wanataka matibabu kwenye public health facilitie"

Ndio mana makusanyo ya kodi ni kidogo, kwakuwa sekta za uzalishaji ni chache, watu hawafanyi kazi, hali inayopelekea umaskini uliyo kithiri
 
Sasa tatizo la mashabiki wa simba na yanga hapo lipo wapi maana naona kama umechanganyikiwa
 
Wewe ni rema?

Hapa nakataa, maana kuna mataifa kama Misri na England wanapenda mpira kuliko sisi na wako vizuri kiuchumi...

Tusitumie akili ndogo kujadili failure zetu, tutaendelea kuanguka...

Simba na Yanga imezuia vipi nchi kusonga mbele?
Uingereza hawazungumzii Man U, Liverpool, Newcastle, Aston Villa tangu asubuhi mpaka jioni.
Nimeishi huko.
 
Uachage masiraha wakati wa kujadili hatma ya taifa letu.
 
Huelewi unachojadili, kaa kimya!
Jinga kweli wewe mambo ya ushabiki wa mpira na mambo ya maendeleo yanaingilianaje hujielewi mbona ni vitu viwili tofauti tafuta hela jinga kabisa wewe maisha Yako magumu unaanza kuingilia hobby za watu ambao wanaishi maisha yao
 
kufeli mmefeli wenyewe msisingizie simba na yanga, Tanzania mpira ndio unakuwa hivi mmeshaona nchi za wengine huko wanavyofatilia timu zao kindakindaki na maendeleo yapo mbali tu..!

Ni ufitini,ujinga na uzandiki kufikiri Kiswahili kinaturudisha nyuma!,kenya wanakitumia Kiswahili na wanapiga pesa kupitia Kiswahili hichohicho!. nchi ngapi hapa africa wanaongea English lkn tuponao kwenye ombwe moja la uchumi!.. china wanatumia lugha yao lkn wanachuana maendeleo na nchi nyengine kubwakubwa na nchi nyingi za asia miaka ya 60's tulikuwa tunalingana nao uchumi lkn leo wapo mbali mno na wanatumia lugha zao!.

shida inaanzia ubongoni maana hata kuainisha tu mambo yanayotusumbua umeshindwa!,hata uongee English kushinda hata wa British wenyewe kama hauna uwajibikaji,u serious,mipango,dira ya nchi,usimamizi mzuri utakwama tu!..
michezo haijanza tz nchi nyengine wanamichezo na timu kubwakubwa zenye wafuatiliaji wanaojitoa kabisa na maendeleo wanayo.. mkuu kaa chini ufikiri vyema hizo sio sababu tuacheni uvivu na imani za kijinga ndio maana watu wanapigwa pesa na wakina nabii huko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…