Vitu vinavyounda na vinavyozunguka biashara

Vitu vinavyounda na vinavyozunguka biashara

Joined
Dec 13, 2017
Posts
14
Reaction score
3
Kuna tofauti kubwa Kati ya kuanzisha biashara na kujiajiri..

Watu wengi wamekua wakijiajiri na kuzani ni wafanya biashara... Kuunda biashara ni kazi ya muda mrefu na inahitaji umakini katikakuunda timu,mfanya biashara lazima uwe na system ambayo inawezesha pesa kuzalisha pesa..

Vitu vinavyozunguka biashara
1.mission
2.team
3.Leadership

Vitu vinavyounda biashara
1.product
2.legal
3.system
4 communication
5.cash flow

Biashara inahitaji wazoo, uthubutu, kiu na Watu pamoja na pesa.
 
Back
Top Bottom