1. KUNYA-Kiukweli unapokuwa unakunya unasahau shida zote za Dunia hii.
2.KULALA-Hakuna atakayebisha wakati usingizi unakuchukua ni utamu na raha kiasi gani unaipata na kusahau shida zote za Dunia.
3.KUKOJOA(+18)-Hapa ndio balaa kabisa hutowaza chochote hata kama una kesi ya mauaji.