Vitu vitamu zaidi duniani ni vitatu

Vitu vitamu zaidi duniani ni vitatu

Ndugu yangu mk 254,nadhani umeshakua mdau hapa Tz, mleta mada kaitaja hiyo pale aliposema KUKO.. J. A (+18 YRS)

Te te te!! Nimemuelewa sasa, hapo pa (+18) sikua nimepasoma vizuri. Yaani shiida, hata nikifumaniwa hapo sitaachia....
 
1. KUNYA-Kiukweli unapokuwa unakunya unasahau shida zote za Dunia hii.
2.KULALA-Hakuna atakayebisha wakati usingizi unakuchukua ni utamu na raha kiasi gani unaipata na kusahau shida zote za Dunia.
3.KUKOJOA(+18)-Hapa ndio balaa kabisa hutowaza chochote hata kama una kesi ya mauaji.
Utamu unaenda na umri
Watoto pipi
Vijana--------
 
Back
Top Bottom