Elisha Chuma
JF-Expert Member
- Jul 22, 2013
- 282
- 275
Biashara pia inavitu ambavyo kila mtu anatakiwa avifuatilie ili uweze kuimanage, biashara nyingi zinafeli iwapo moja kati ya vitu hivyo vinapopungua au kukosekana hivyo basi kabla ya kuanzisha au kuanza biashara yako jiaminishe unaweza kusimamia vitu vifuatavyo.
1.Branding 2.Masoko 3.Huduma kwa wateja 4. Imani na 5. Sheria za pesa maelezo zaidi kuhusiana na vitu hivi vitano bonyeza hapa chini.
Elisha Chuma: Vitu vitano vinavyosimamia biashara yako
1.Branding 2.Masoko 3.Huduma kwa wateja 4. Imani na 5. Sheria za pesa maelezo zaidi kuhusiana na vitu hivi vitano bonyeza hapa chini.
Elisha Chuma: Vitu vitano vinavyosimamia biashara yako