Hapo kwenye red panahitaji umakini kidogo kozi unaweza sema jamaa bahili kumbe kipato kidogo au anamipango ya baadae kama kujenga
Ndio wakwako yuko hivo? Kauliza ni vitu gani anafanya ambavyo umeamua kumvumilia tu hivo sababu unaona hata badilika?1. Mwanamke mchafu tena wandani siyo kujipara njia kumbe mchafu
2. Mwanamke asiyejuwa kufanya sex
3.Mwanamke mwizi na muongo
Kwangu labda kujamb@,hii itakua kero kwakweli,
Ndio wakwako yuko hivo? Kauliza ni vitu gani anafanya ambavyo umeamua kumvumilia tu hivo sababu unaona hata badilika?
Nice topic...
Ila na hivi vitu nikivikosa hua nammiss sanaaaaaa! Kwanza hata coke diet yenyewe nikiiona naumia. lol
- Kunywa coke diet ya mwenzio wakati hauko kwenye diet (so I just buy for two)
- squeezing the tooth paste in from the middle, unatakiwa kusqueez from the bottom up! (Ndio maana siku hizi nanunua tu ile ya can)
- innability to chat beyond 150 sms per day (but hili ni kosa langu maybe, so we work both ways)
umenibambaUnaweza kufikiria vitu vitatu au vinne ambavyo kwa kweli kwenye mahusiano watu wanakubali kuishi navyo lakini kwa kweli vinakera sana. NI vitu ambavyo unatamani mwenzako angeweza kuvibadilisha lakini baada ya muda umeamua kukubali kuwa huo "ndio" mzigo wako. Umejifunza kuishi navyo lakini kwa kweli ungeweza kuishi bila kuwa navyo. Kwa mfano watu wengine wanakereka na vitu kama kukoroma, kuimba imba, kulala mapema, kuzungumza usiku wa manane na maswali yanayoanza na "nikuulize swali" n.k Hivi siyo vitu vinavyohusiana na watu wengine (siyo mambo ya kucheat n.k) bali vijitabia, mazoea, mambo na hata vijimambo ambavyo ni "kero" kama zile "kero za Muungano".
Hapa tunaweza kufundishana maana wengine kuna vitu ambavyo hawajali kabisa na wala hawafikirii kuwa ni "kero"...
mtu asiye muwazi/msiri,................temper na choyo
Hili la "nikuulize swali" nadhani comes standard hadi international relationships...
Jamani mimi kero kuu ni simu tu,
una hamu na mtu ye amekazana kuchat tu mara kupokea simu!
Pia kukataa cha asubuhi, huwa natamani kulia ila ndo dah sio ishu sana bado nampenda sana.