PNC
JF-Expert Member
- Feb 3, 2015
- 8,106
- 14,353
ww ndiye unayetoa povu kama vijana wa Lumumba sasa wapi mleta mada kazungumzia makombehilo ni kombe???mbona mapovu kama umekunywa omo ya buku 7 za lumumba?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ww ndiye unayetoa povu kama vijana wa Lumumba sasa wapi mleta mada kazungumzia makombehilo ni kombe???mbona mapovu kama umekunywa omo ya buku 7 za lumumba?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ukweli mchunguHuwa najiulizaga sana kuwa kwanini wanawake wanawapenda sana wanaume mashoga....!!!![]()
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] kwani youth cup sio kombe AU ANGECHUKUA MMOROCCO ndio kombe ila akitwaa KING inaonekana sio kombeHihihihiii
Umetoa Dumbest comment ever
Hizo bro zinatwa youths cups,siyo major trophy, ki ufupi haja weza kushinda na timu yake ya taifa chochote
Jamaa ka chocke kweli
Mmmh! Ya kweli hayo?! Nakumbuka lile goli lake dhidi ya timu fulani, kwenye final ya UEFA ilikuwa Wembley (?) Mechi ambayo babu mmoja hivi alipatwa na kifafa cha viungo vya mwili!
StupidTofauti kati ya MESSI na RONALDO:::::
1)MESSI anakipiga barca RONALDO
anakipiga MADRID
2)MESSI hajawahi kulipa kodi tokea
2007 RONALDO analipa kodi
3)MESSI amestaafu timu ya taifa akiwa na umri wa miaka 28 na
siku 359, RONALDO bado anaichezea timu
ya taifa wakat ana miaka 31.
4) MESSI ameifungia timu ya taifa
magoli mingi kuliko mchezaji yeyote
Dunian,RONALDO ameshiriki EURO mara nying zaidi.
5)MESSI anamke, RONALDO
ana Hawara.
6)MESSI hajawahi kupata skendo ya
ushoga,RONALDO ishawahi kumuandama.
7)MESSI ni mfupi,RONALDO ni mrefu
Mkuu, umeielewa mada?!magoli zaid ya 300 linakumbukwa hilo moja tu halafu haikuwa wembley cr7 anapga sna tu
Sasa kama hujui maana ya major trophy sijui nkusaidiaje[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] kwani youth cup sio kombe AU ANGECHUKUA MMOROCCO ndio kombe ila akitwaa KING inaonekana sio kombe
Mkuu, umeielewa mada?!
Mada imesema hawezi kufanya. Mimi nimeonyesha ushahidi kuwa ameshafanya hicho ambacho tunadanganywa kuwa hawezi kufanya, tatizo liko wapi?!
Halafu kuhusu Wembley, nimeweka hii...(?), unaelewa maana yake?
Mkuu, jitahidi sana unapojadili na mtu ujue anajadili kistaarabu, anabisha au anapitisha muda tu! Unawezaje kuniambia kuwa kama sijui sina haja ya kupost wakati tangu post yangu ya kwanza nimeweka alama hii (?) ??? Ndo maana nilikuuliza unaelewa mtu akikuwekea hiyo alama? Na ajabu wakati huohuo unadai Messi kafunga magoli 300, na kuwa hilo la kichwa nililotaja 'alibahatika na ndo maana hajarudia'mi nimekuelewa wanachosema hawez wana maanisha sio kitu endelevu alibahatika ila sio vitu alivyonavyo na ndo mana hajarudia hapo kwa wembley bora usingeandika mkuu kwa kuwa hujui huna haja ya kupost kitu kwa kubahatisha.
Hivi huyu jamaa ni SHOGA kweli..?8) Ronaldo ni mke wa mtu na Messi ni mume wa mtu.....
![]()
![]()
![]()
Mkuu, jitahidi sana unapojadili na mtu ujue anajadili kistaarabu, anabisha au anapitisha muda tu! Unawezaje kuniambia kuwa kama sijui sina haja ya kupost wakati tangu post yangu ya kwanza nimeweka alama hii (?) ??? Ndo maana nilikuuliza unaelewa mtu akikuwekea hiyo alama? Na ajabu wakati huohuo unadai Messi kafunga magoli 300, na kuwa hilo la kichwa nililotaja 'alibahatika na ndo maana hajarudia'
Mkuu, kama una nia ya kujadili ukweli chukua hii hapa: Kufikia Jumapili ya tarehe 17 April 2016 baada ya mechi na Valencia, Messi alikuwa amefunga magoli 500 na kati ya hayo 21 kwa kichwa. Sasa wewe unayeniambia 'kwa kuwa sijui sina haja ya kupost' ungeonyesha wewe huo mfano kwa kutopost uongo kuhusu magoli 300 na kuwa 'hajarudia'
Hata mimi huwa nabakia kwenye swali hili na bado sijawahi kupata jibu!Huwa najiulizaga sana kuwa kwanini wanawake wanawapenda sana wanaume mashoga....!!!![]()
Hivi huyu jamaa ni SHOGA kweli..?
au ni chuki binafsi za wasiomkubali..!?
mess ameshinda kombe gani kweli akiwa na arigentae???
Pro
Pro-Messi watatusaidia naona, ngoja tuwasubiri...!