BlackPanther
JF-Expert Member
- Nov 25, 2015
- 9,185
- 8,715
Ivi wewe ni kabila gani???
ARIGENTAE ndio nini sasa? Au hujui mpira unajilazimisha kupost tu?
Ingia youtube uone mfalme alivyofanya huko holland..
FIFA U-20 World Cup
Winner 2005 Netherlands
Olympic Games
Gold medal – first place 2008 Beijing
FIFA World Cup
Hihihihiii
Umetoa Dumbest comment ever
Hizo bro zinatwa youths cups,siyo major trophy, ki ufupi haja weza kushinda na timu yake ya taifa chochote
Jamaa ka chocke kweli
Huwa najiulizaga sana kuwa kwanini wanawake wanawapenda sana wanaume mashoga....!!!
Japo naipenda France lakini jana nilifurahi kwa ajili ya Ronaldo.
Team Messi hoiiiiiii [emoji6][emoji6][emoji6]
JIFUNZE KUANDIKA
ALISHINDA FIFA WORLD CUP U20
una la ziada?
ULIZENI LINGINE
Tofauti kati ya MESSI na RONALDO:::::
1)MESSI anakipiga barca RONALDO
anakipiga MADRID
2)MESSI hajawahi kulipa kodi tokea
2007 RONALDO analipa kodi
3)MESSI amestaafu timu ya taifa akiwa na umri wa miaka 28 na
siku 359, RONALDO bado anaichezea timu
ya taifa wakat ana miaka 31.
4) MESSI ameifungia timu ya taifa
magoli mingi kuliko mchezaji yeyote
Dunian,RONALDO ameshiriki EURO mara nying zaidi.
5)MESSI anamke, RONALDO
ana Hawara.
6)MESSI hajawahi kupata skendo ya
ushoga,RONALDO ishawahi kumuandama.
7)MESSI ni mfupi,RONALDO ni mrefu
Tonaldo????Ni ukweli kimafanikio ya kimpira Ronaldo ana cha kujivunia tofauti na mess na nadhani anguko la mess kwenye team ya taifa linazungumziwa zaidi sababu ameshindwa kuisaidia team yake ya taifa japo amezungukwa na masuper star tofauti na tonaldo
Timu ya taifa ya Argentina inaitwa, La Albiceleste (The White and Sky Blue) tena wewe mwnyewe ulikuwa unaitaja hapa, Mashindano ya vijana hayahesabiki kama major trophy hayo ndo hadi Nigeria huwa wana chukuaTimu yake ya taifa ipi sasa? Au unamaanisha Barca ndio timu ya taifa? Eleweka
Timu ya taifa ya Argentina inaitwa, La Albiceleste (The White and Sky Blue) tena wewe mwnyewe ulikuwa unaitaja hapa, Mashindano ya vijana hayahesabiki kama major trophy hayo ndo hadi Nigeria huwa wana chukua
Ebu mkajipange ki ufupi bhana Missi asha fulia
"La Selección (national team), also known as the Albicelestes (sky blue and whites), has appeared in five World Cup finals, including the first final in 1930 , which they lost 4–2 toUnashindana na mimi nilieanza kungalia mpira kabla yako! Angalia alaf niijie tena,, timu kubwa na na ya U-20 huwa linatumika nickname moja tu..nadhani umenipata mpaka hapo! Cheki hspa
Argentina national under-20 football team
Argentina Under-20
Nickname(s) Albicelestes
(White and Sky blue)
Association Argentine Football Association
Confederation CONMEBOL (South America)
Head coach Humberto Grondona
Captain Emanuel Mammana
FIFA code ARG
Honours, Angalia hapa Argentina imebeba makombe
FIFA U-20 World Cup (6): mara sita
1979, 1995, 1997, 2001, 2005, 2007
South American Youth U-20 (5):mara tano
1967, 1997, 1999, 2003, 2015
Kama huamini ingia hapa
Argentina national under-20 football team - Wikipedia, the free encyclopedia
Ngoja panadol team watakuletea jibuSamahani..hivi Team Serengeti Boys wako wapi sasa?
Kama ni shoga kweli inatakiwa niache kumshabikia haraka iwezekanavyo..!Lisemwalo lipo...kama halipo laja....
Kama ni shoga kweli inatakiwa niache kumshabikia haraka iwezekanavyo..!
Hizo ni fununu za mahaterzzzKama ni shoga kweli inatakiwa niache kumshabikia haraka iwezekanavyo..!
[emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87]8) Ronaldo ni mke wa mtu na Messi ni mume wa mtu.....