Sijawahi garamia tendo kwake mpaka tunaachana mamaeeee shoo nzima inasimamiwa na yeyeDuh yupo vizuri huyo
Wow this is really sweet.Ikanikumbusha mara nyingi tukitoka huwa ananitreat vizuri mpaka kama kuna majirani lazima wageuke
Kwanza mchangamfu hapendi mtu anaenuna ni ngumu kuwa bored ukiwa nae lazima utacheka,atakufungulia mlango,atakulisha,atakubembeleza(akiwa na muda),atakubebea pochi proudly,kiufupi kila kinacho wezekana ndani ya uwezo wake kitakacho kupa furaha anajitahidi kukifanya.
Nimesikitika siku zote sijawahi kusema asante ni kama niliona ni haki yangu kufanyiwa yote hayo mpaka leo nilipo jitafakari.
Nijibu nini sasa hapa..🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23]mkuu unapendwa mpaka wengine unatuona bata
🤣🤣 Huishi majanga unakwama wapi we dada..???Me hata sikumbuki japo vipo il sivikumbuki[emoji1787]
Majanga gani my brother?[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Huishi majanga unakwama wapi we dada..???
Usiseme hukumbuki sema tu hakuna..🤣🤣Majanga gani my brother?[emoji1787]
Hakuna mambo ya mapenzi mapenzi hapaa...
Aisee! Alipe hadi gesti, huyo kazidiwa sana au?Nyege zikimjaa analipia gesti mwenyewe mi nikabandue tu.....Asma popote ulipo nimekumis mtoto wa kizaramo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nilivokuwa namyandua naye anasugua kile kimshipa chake huo ni ushirikiano wa awamu ya tano.
Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]achana na mimiUsiseme hukumbuki sema tu hakuna..[emoji1787][emoji1787]
Dada kwa ushauri hama ukanda dada nakuomba uhame ukanda itakuwa ulishaga ichukiza mizimu ya ukanda huo..huwezi ona hata upewe dunia utataka na jua..[emoji23]
Shauri yako we ngoja mizimu ya watu ije ikushughulikie..🤣[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]achana na mimi
Wow this is really sweet.
You really wouldn't want to lose that relationship.
Kama umeoa Slayqueen au EFD Machine usionee wivu wenzio ukaanza vijembe 😹😹😹 kuna wanawake wanajua kuwa love is two way trafficKumbe kuna wanaume wanapenda Kitonga mteremko!
Tabia za kishamba, huwezi kumdai mpenzio hela namna hio! Kama vile we hujawahi kula zake...Ptuh!Mara moja [emoji23][emoji23]na alikuja kuilipa
Hahahahah usilete ubata sasa, huyo wako Kweri Kweri😹Anavyonipenda tu mpk nahisi ni kamalaika..🤣
Jina langu huwa analitamka kiutamu na kale kasauti kake akiita kenzyyy Yani Kama pepo unaiona hii hapa! Mengine siri ila chakuongezea sio msumbufu mara leo anune mara sijui alete mkwara huu nooo kabisa Toto ya watu imetulia haina makuu..
Nyie Bata mi napendwa walahii..🤣🤣🤣
Kwahio we hutamuoa mkuu, nipe mie awe mke wa.piliMtoto w w2 kwenye kujali tu ananikosha sana , sauti yake, mideko yake mm hoi.
Nb; atakayemuowa atapata raha sana
Mkuu kipele kimepata mkunaji..🤣Hahahahah usilete ubata sasa, huyo wako Kweri Kweri😹
Weka akiba mkuu, hata ile couple ya mzee wa "Ngoja waje wakupe muongozo 😂" ilianzaga kwa mbwembwe kibao mara ma CC: ila imezimika kama kibatali 😂😂😂 ile mibunda bunda haijafua dafu naona!Nijibu nini sasa hapa..🤣🤣
Jiongeze tu..! Ila nawapenda Sana Wana jamiiforum..😁