Vitu vizuri unavyovikumbuka kwa mpenzi wako

Bora umejiwahi mapema maana hiko kichefu chefu angekipatia ndimu nje huko hamna rangi ungeacha kuona 😂😂😂!!!

Sometimes inakera sana kuwa na mtu asie na shukurani na mlalamishi.
 
Weka akiba mkuu, hata ile couple ya mzee wa "Ngoja waje wakupe muongozo 😂" ilianzaga kwa mbwembwe kibao mara ma CC: ila imezimika kama kibatali 😂😂😂 ile mibunda bunda haijafua dafu naona!
Kumbe mnachora watu tu..🤣
Lkn kwasasa ukweli ndo huo nipo kwenye utamu utamuni ndio maana hata makeke nimepunguza!.. acheni tu niwaite kinyeramumo..🤣
 
Bora umejiwahi mapema maana hiko kichefu chefu angekipatia ndimu nje huko hamna rangi ungeacha kuona [emoji23][emoji23][emoji23]!!!

Sometimes inakera sana kuwa na mtu asie na shukurani na mlalamishi.

[emoji23][emoji23][emoji23]nimejiwahi
Siku niliogopa akaanza kuniita una gubu kama mary wa garaB wa jua kali
Nikasema mmh nisipo wahi ipo siku ntalia
Kama huko nje yupo ashindwe na alegee
 
[emoji23][emoji23][emoji23]nimejiwahi
Siku niliogopa akaanza kuniita una gubu kama mary wa garaB wa jua kali
Nikasema mmh nisipo wahi ipo siku ntalia
Kama huko nje yupo ashindwe na alegee
Haswa hakukosea maana yule mwanamke ni 100℅ true copy ya wanawake wengi wenye asili ya midomo midomo ambao wamebahatika kuwa wake za watu.😂😂😂

Ukiskia nazungumzia makofi kwa mwanamke basi jua yule ndio aina ya KE ambaye lazma atiwe vibao ili apunguze kuchonga ngenga.
 
Tabia za kishamba, huwezi kumdai mpenzio hela namna hio! Kama vile we hujawahi kula zake...Ptuh!

Eh Mungu naomba wanawake wabinafsi waniepukie mbali[emoji81]

Wewe hadaiwi ila anailipia vizuri tu
 
🤣🤣🤣mkuu mpaka wengine unatuona Bata🦆🦆hakiii🤣🤣🤣 umekamatwa kwenye Kona kweli

Cc :komamanga
 
Weka akiba mkuu, hata ile couple ya mzee wa "Ngoja waje wakupe muongozo [emoji23]" ilianzaga kwa mbwembwe kibao mara ma CC: ila imezimika kama kibatali [emoji23][emoji23][emoji23] ile mibunda bunda haijafua dafu naona!
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji119][emoji119]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
🤣🤣 Hii inaitwa man down.
Tena down stairs kabisaa
Ndo maana huonekani nowdays kumbe unafinyiwa huko


Me wangu nitarejea kusema ...nasubiri wote mlale Kwanza..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…