Papaa007
JF-Expert Member
- Sep 4, 2016
- 1,103
- 1,737
Kwanza tambua wewe ni mtu mzima na ushavuka 18yrs kama bado basi umeenda tofauti na ulivofundishwa biology secondary na bado hujafika 18
Kubaliana na litakalotokea huna wa kumlaumu mambo ya gono, Uti, kaswende na mengineyo.
Jua ya kwamba mimba inaeza kutokea na sio kuanza kulaumu vidonge na kukimbia.
Tayar umeshatengeneza soul bound na mwenza wako sio uanze kulalamika huyu mbona anapiga piga simu
Vizinga vinakuja bwana dingi kama wewe ni Mwanaume jiandae kama wewe ni mwanamke una mtu mpya wa kumpiga viznga ila kuna wengine hawapig vizinga ila wanataka rungu non-stop
Ku maintain multiple relation ni swala lingne mabaharia tunaita kula kwa jiran na kula kwako usionekane umeshiba.
ITaendelea...
Kubaliana na litakalotokea huna wa kumlaumu mambo ya gono, Uti, kaswende na mengineyo.
Jua ya kwamba mimba inaeza kutokea na sio kuanza kulaumu vidonge na kukimbia.
Tayar umeshatengeneza soul bound na mwenza wako sio uanze kulalamika huyu mbona anapiga piga simu
Vizinga vinakuja bwana dingi kama wewe ni Mwanaume jiandae kama wewe ni mwanamke una mtu mpya wa kumpiga viznga ila kuna wengine hawapig vizinga ila wanataka rungu non-stop
Ku maintain multiple relation ni swala lingne mabaharia tunaita kula kwa jiran na kula kwako usionekane umeshiba.
ITaendelea...