Hii itasaidia kupata katiba mpyaAhsante. Inatusaidiaje hii sasa mkuu?
Mkuu hii thd ni kama kurefresh tu,kujifurahisha,Ahsante. Inatusaidiaje hii sasa mkuu?
Aah umenikumbusha ubeche mwanangu ni muda sijasikia hili jina. Utasikia leo kuna kibeche hahahahaWali,ubeche,mpunga,mchele
Na kupigia brashi viatu.RUSHWA- Mlungura, Takrima, ya Maji, 10%, ya soda, Za moto, zenye Unga, Grisi, Kilainishi nk nk nk
Mtoto mashalah haipo?tako,trako,nyaa,kichuguu,zigo,msambwanda,nyashi,wowowo, nishati,mtihani
KWann ukimbilie kwanza kwenye MATATIZO, are you troubled ? Na kama una matatizo do you think kila mtu ana matatizo kama wewe?Mkuu hii thd ni kama kurefresh tu,kujifurahisha,
Kaanzishe thd yako ambayo unaona itakusaidia kwenye matatizo yako,
Soma comment #2
Hakika na inawezekana 😂😂😂Hii itasaidia kupata katiba mpya