Vitu vyenye majina mengi hapa duniani

Vitu vyenye majina mengi hapa duniani

KWann ukimbilie kwanza kwenye MATATIZO, are you troubled ? Na kama una matatizo do you think kila mtu ana matatizo kama wewe?
Anyway, na kama ninayo, do you think hapa ni mahala mimi naweza kuja kutafuta suluhisho la matatizo yangu?

Mind you, sipo hapa jukwaani kutafuta suluhisho la matatizo. If you do , then thats your problem
Hili gazeti linaashiria wazi kabisa kua una stress sana ya maisha,pole sana aisee.
 
Hili gazeti linaashiria wazi kabisa kua una stress sana ya maisha,pole sana aisee.
Ahsante. Nikupe hongera na wewe kwa kuwekeza muda ku speculate how people feels.
Neno matatizo umelitaja wewe
Now neno stress
Aliwazalo mtu ndilo.........

Pole kwakua hayo hayakua mawazo yangu na hongera kwa kusoma na gazeti hili la pil 😂
 
Ahsante. Inatusaidiaje hii sasa mkuu?
Hebu soma tena comment yako huenda ukaielewa,


Umeuliza "Inatusaidiaje hii sasa mkuu?"

Swali langu kwako,ulitaka ikusaidie nini? Wakubwa tumekuelewa kua umeiponda hii thd,ndio maana nikakwambia kaanzishe thd yako ambayo utaona itakusaidia,hii thd ni kurefresh tu,una akili nzito sana ya uelewa ndio maana unashusha waraka.
 
Hebu soma tena comment yako huenda ukaielewa,


Umeuliza "Inatusaidiaje hii sasa mkuu?"

Swali langu kwako,ulitaka ikusaidie nini? Wakubwa tumekuelewa kua umeiponda hii thd,ndio maana nikakwambia kaanzishe thd yako ambayo utaona itakusaidia,hii thd ni kurefresh tu,una akili nzito sana ya uelewa ndio maana unashusha waraka.
Mbona nahis labda kama wewe ndio uko negative chief?.
kwann ufikiri nimeiponda kwa ku comment that way?

Okay. Kwa akil hii nzito naomba tuishie hapa kamanda.
 
genye, uraru, upwiru, ugwadu, usongo, ugumu..
 
Mwanamke… pisi, demu, girlfriend, mke, mchepuko, mams, manzi, mama, mamkubwa, shangazi, dada, binti, bibi, bi mkubwa..
ondoa mwanamke weka Depal = pisi kali, mtoto mashala
 
Back
Top Bottom