Vitu vyeupe kwenye uke, huwa inasababishwa na nini

Mwanamke anayetoa huo uchafu ni mgonjwa kwa sababu mwanamke akiwa hana ugonjwa wowote hawezi kutoa uchafu huo. Nakushauri mpeleke hospitali akatibiwe. Mimi ni mwanamke nimekujibu kutokana na uzoefu
Bila shaka ni fangasi za uke
 
Papo ndio nini ????[emoji23] [emoji23] [emoji23]

Nawewe hujui kusoma na hata kuandika kama mfanyabiashara Muddy mba*kaji wa mtoto Aisha alivyokiri kutojua kusoma na kuandika???

Tuanzie hapo.
Mbona papo hapo ni kiswahili fasaha kabisa mkuu,au we umeelewaje?
 
Nimekuelewa mkuu upo sahihi kbsa. Demu ambae apigwi mashini kwa wingi lazima awe nao
 
fangasi za uke ndiyo huwa kisababishi kikubwa cha kutoka ute mweupe kwa wanawake. Fangasi kwa wanawake ni ugonjwa wa kawaida na huwapata wengi na hauhusiani na umalaya au kugongwa sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…