Vituko duniani

Vituko duniani

IMG-20171124-WA0006.jpg
 
*Nlitaka kumuweka *Mugabe* profile picture ila nikakumbuka badae nikitaka kumtoa atakataa tu[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]*
 
*Nlitaka kumuweka *Mugabe* profile picture ila nikakumbuka badae nikitaka kumtoa atakataa tu[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]*
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Jamani tupo humu kama marafiki ambao lengo ni kuleta umoja kati yetu, ila tusileteane mazoea ya kijinga kwa kuwa wote tuko Fb, kitu kama hukijui ni vyema uulize sio kuropoka na kujiamulia huku ukiwakwaza wengine, aliyempa namba yangu Robert Mugabe bila ruhusa yangu ni nani????au nia yenu mnigombanishe na Jeshi la Zimbabwe??? Ebu acheni hizo bana!!!
 
Jamani tupo humu kama marafiki ambao lengo ni kuleta umoja kati yetu, ila tusileteane mazoea ya kijinga kwa kuwa wote tuko Fb, kitu kama hukijui ni vyema uulize sio kuropoka na kujiamulia huku ukiwakwaza wengine, aliyempa namba yangu Robert Mugabe bila ruhusa yangu ni nani????au nia yenu mnigombanishe na Jeshi la Zimbabwe??? Ebu acheni hizo bana!!!
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
IMG-20171123-WA0102.jpg
 
Back
Top Bottom