Vituko gani uliwahi kufanya ulipokuwa adolescence stage ambacho hutasahau?

Vituko gani uliwahi kufanya ulipokuwa adolescence stage ambacho hutasahau?

KIUNGOMCHEZESHAJI

Senior Member
Joined
Oct 4, 2013
Posts
120
Reaction score
255
Adolescence stage ni kipindi kati ya miaka around 16 hadi 22 hivi. Ni umri wa kubalehe kwa mwanaume na kuvunja ungo kwa msichana. Kisayansi unaitwa foolish age kwa sababu kijana ndo anaachana na utoto lakini hajaufikia utu uzima vile. Yupo hapo in between. Kijana anakuwa hajitambui vizuri. Mvulana anaanza kuongea besi la ajabu ajabu, msichana ndo anakuwa na sauti nnyororo na ngozi laini, hapo ndo vijogoo vinaanza kufukuzia. Mara nyingi ndo umri ambao vijana wengi hufanya majaribio masuala ya mapenzi. Nii umri ambao kijana asipopata maelekezo, malezi na ushauri mzuri kuhusu maisha basi ni rahisi kupoteza dira na mwelekeo wa maisha yake ya baadaye. Mimi kuna vituko nikikumbuka mpaka leo nacheka sana. Kweli wazungu hawakukosea kuita foolish age.

Mimi enzi hizo nilikuwa mpole sana. Nilikuwa mwoga sana kutaniana na binti (nilikuwa domo zege ile mbaya). Ila kinyume chake nilikuwa mtu wa dini sana, kanisani kwa sana mpaka wakanipa jina la utani Mchungaji. Nilikuwa nasoma sana biblia na vitabu mbalimbali vya dini. Basi Mchungaji na viongozi wa dini walinikubali mpaka wakawa wananipa nafasi kutoa masomo mbali mbali. kusema ukweli kimaumbile nilikuwa handsome (hata leo) mwenyewe najikubali, mweupe kiasi, mrefu, si mnene wala si mwembamba, umbile la wastani. Basi wasichana wakawa wananisumbua sana ila kila anayejaribu akawa anaambulia patupu.

VITUKO AMBAVYO SITASAHAU
Moja, Nikiwa nasoma O-level, kuna binti alikuwa ananisumbua sana, ana makeke ile mbaya. Anaitwa Veronica. Siku moja nilitoroka shule kabla ya muda. Ilikuwa shule ya kutwa. Njiani nikamkuta huyo binti na yeye katoroka. Tukapiga story za hapa na pale, basi tulipofika mahali pa kuachana, mimi nimefika geto, nikamuaga. Akasema nimsubiri ana kiu apite kwangu gheto nimsaidie maji ya kunywa nikasema poa, tulivyofika nikampa maji. Alipomaliza akakaa kitandani, akavua viatu akawa anasingizia joto akaanza kufungua vifungo vya shati. Nikajifanya sioni nikageuka upande mwingine kama natafuta kitu kwenye vyombo. Akaniomba apumzike kidogo kitandani, nikasema poa lakini mi naenda kuchota maji sijui nitakukuta? Hapo najichukulia ndoo natoka. Alipoona niko serious basi akaondoka. Siku nyingine alinitukana live akaniambia mashine yangu haifanyi kazi au sina kabisa.

Tukio la pili:
Nikiwa nasoma Advance, nilikuwa na misimamo yangu hiyo hiyo: nikiwa shule bro alihamishwa kikazi, basi likizo ikabidi nimfuate,. Nilipofika jinsi nilivyo serious na kazi na shule basi mabinti wakaanza fujo zao nagomaniwa kama mpira wa kona. Walipoona siwashobokei basi wakabuni njia mpya, msichana akiwa na wenzake anawaambia kuwa KIUNGOMCHEZESHAJI ni mchumba wake. Hii ilikuwa namna ya kuwakatisha wenzake tamaa. Wakati mimi sijui hili wala lile, siku moja wakaenda kuokota kuni porini wakakutana watatu wakapigana kwa ajili yangu kila mmoja anadai mimi ni wake. Daah, kesi ikaja mtaani ilikuwa soo, bro alikuwa amesafiri kwenda Marekani shemeji ndo kabaki home, palikuwa hapatoshi. Najitetea kwa shemeji wala hanielewi. Nikawafuata wasichana wote kwa wazazi wao kuwa kuna jambo la muhimu shemeji yangu anawahitaji. Wakaja, kumbe shemeji alikuwa hajui lolote, akashtuka tu watu wamekuja nyumbani nikawakalisha, ilikuwa kesi mbaya siku hiyo mwishoni wote wakakiri kuwa walijisemea tuu. Ndo ilikuwa pona yangu siku hiyo, na Mtaani nikawa gumzo. shemeji alikuwa ameshaamua kuwa wanasitisha kunisomesha.

Tatu, na la mwisho:
Bro akahamishwa tena kikazi, na tulipofikia ikabidi apangishiwe nyumba na mwajiri. Nyumba ya Mwenye nyumba na aliyotupangishia vikawa vinapakana. Wakati huo ndo nimemaliza form six najiandaa kwenda chuo. Mwenye nyumba alikuwa ana binti yake anasoma secondari. Akaja kuniomba nimfundishe binti yake tuition ya Geography na History. Nikakubali. Siku mbili za kwanza Mzee naye alikuwepo darasani ili kujiridhisha kama niko fiti, na kweli nilikuwa vizuri akaniappreciate. Siku zilizofuata akawa ananiacha tuu niendelee na binti yake. Siku moja natoka zangu town naendesha baiskeli nikamkuta binti njiani, nikampakia tunarudi zetu home. Nilipofika kuna kisehemu kina vichaka kidogo, binti akanitekenya, daah nusura niangushe baiskeli. Akaniambia kumbe wee mwanaume una nyege. Daah nilijisikia kuweweseka aisee. Tukaendelea mbele kidogo akasema nisimame ameangusha kitu. Nikasimama, akashuka akapandisha sketi ili nione mapaja, nikamwambia iko siku utakipata cha moto.

Siku nyingine, bro na shem wote hawapo. Yeye mzee na mama wote hawapo akaniita nimfundishe tuition. Nikaenda niko serious. Nilipoanza mara akanikatisha hajaelewa point vizuri. Akasimama akaja akanishika shati, akanikumbatia kwa nguvu, topic ikabadilishwa, kama ni ndege basi gia ilibadilishiwa angani. Katikati ya mechi mara ikasikika sauti ya pikipiki, uuuuwi, kumbe baba yake anarudi. Yule binti alikuwa na akili ya fasta, aliniamrisha nitokee mlango wa uani, na kwa nje kuna baiskeli yao kwenye fensi akaniamrisha niende nayo. Akachukua materias yangu akayaficha. Kilichoniokoa ile nyumba ilikuwa na eneo kubwa na imezungukwa fensi ya michongoma, kwa hiyo nikazunguka na kupotelea upande wa pili. Baadaye nikawa narudi kana kwamba natoka mjini. Nikafika kwao nikabisha hodi nikamkuta mzee nikamsalimia. Nikamwambia nimerudisha baiskeli nilikuwa nimeazima kwenda mjini mara moja, ya kwangu ina pancha. Mmmh Sitasahau siku hiyo.
 
Hiyo ya mwisho imenichekesha mpaka basi
 
Mimi nilikatazwa nikiitwa na mtu njian nisiemjua hatakama namjua nisigeuke!

Ukweli age hiyo nilikuwa mkali uson natembea nimeweka ndita a.k.a marinda ya uso ili wanione mbaya na mkali nisiependa upuuzi!

Ikawa ivi watu wameshanizoea tabia yangu hata darasani wavulana siwasogelei wale wenye mambo ya uhuni nawaogopa yaan akipita kwenye bench niliokaa nakunja uso balaa utazan kesha nitongoza jaman!

Atajisemesha weee mi kimya nainamia daftari nasoma utasikia ebu tusome wote
yaan hapo ndo umekoroga nitahama hiyo sehemu ikiwezekana kama nilikuwa 'A' naenda adi mkondo 'B' najificha,

baada yakutambua tabia hiyo, guy mmoja wapo akajitosa kuniandikia kimesej kwenye karatasi neno "nakupenda" aisee alinikoroga akili ukizingatia na mafunzo makali ya nyumbani unajua nilimjibuje?
Jibu halikuandikwa kwenye karatasi nilimwendea live
tena akiwa na marafik zake hahahahah duh!
nilimmwagia mvua kali sana ilikuwa ivi,


"ushindwe na ulegee nakukemea na pepo lako la ngono ukafie mbali! Kazi kuwaharibia watu masomo nakuambukiza ukimwi kwa umalaya wako ukome kabisa tena unitue muhuni mkubwa wewe!"

hahahahah jaman jaman nacheka hiki kipindi.

Kwakwel hali hiyo ya ukali imenilemaza adi sasa nimkali sijui kwanini.
 
stage hyo nkikumbka mwenyewe nacheka tu nakumbuka niliwah kumpiga anko na sturi kisa nimemwambia anko nisogezee hyo grass akanijib huna mikono nikajaa sumu kama koboko nikanyanyuka na sturi piga kichwan akatoka nduki nikafata panga nimchije kabsa akahama nyumbani baada ya siku tatu akaja nilipomuona tu nikaanza kulia pekee yang kwa hasra nikafata tena panga ikabidi nikamatwe na shule nikahamishwa
 
Sitosahau enzi hizo form 3 naingia class na zana (condom) mfukoni, nakumbuka madame mmoja alikua anafundisha history alikua kafungasha mzigo balaa (vijana waita inye) katikat ya kipindi gauni lake likajibana kwenye makalio (mnato), boys wote hali ilikua tete ndipo nikajitolea kwenda kuitoa huku nmechomoa shati na kuubana uume kwa mkanda, nilifanikiwa kuchomoa mnato kwa madame ila alimind sana baada ya darasa kupasuka kwa kicheko, ndipo aliposusa kuendelea na kipindi na kunipeleka ofisini kwa mahojiano zaidi, nikiwa ofisini akaja ticha mmoja akaingiza mkono mfukoni mwangu kama kunisachi lahaula akakutana na condom,

Yaani akanipiga fimbo 6 bila kusema chochote, alipoulizwa na madame akamwambia alinipa adhabu nikakataa ikabidi nami niuchune, ila baadae madame alinisamehe ...... Siku nyingine nkaamua kukomesha tabia ya madame kuja dorm kwetu kwa kujifunika shuka usoni huku namfata direct,hakunitambua ila tulipigwa fimbo za kutosha, ya mwisho ni siku niloingia dorm la advance na kuona deka la juu mtu kajifunika huku blanket linachezacheza ndipo nkawashtua waliokua around wakapanda kwenye deka za juu na kunipa kazi ya kufunua lile blanket, nilipofunua sikuamini macho yangu daah nlikutana baunsa mmoja alokua anatushauri kuachana na wasichana akijichuai(punyeto), aliona aibu sana akatangaza kuntoa roho ... ilibid ntoroke shule na kurudi nyumbani kwanza, niliporudi nikaomba samahani yakaisha .... ujana una mambo mengi jamani
 
Hizo zote porojo

Mbaya zaidi ni ambao tulipewa na hatukuona pa kuingiza

Unaitafuta papuchi masaa 8 mpaka mtu anaitwa kwao

Hahahaha, mkuu mimi nilipewa nikawa nalazimishia kuingiza na chupi .. jasho lilinitoka natetemeka
Sioni pa kuingiza .. akanisaidia kuivua .. bado tu tena shimo silioni aseeh akachoka akanisukuma.....
 
Mimi kwa wasichana nilikuwa mzito sana, na hiyo tabia bado ninayo hata sasa.

Nakumbuka niliwahi kufungiwa mlango na msichana usiku halafu akasimama mlangoni kunizuia nisitoke akilazimisha tufanye matusi😂😂😂😂😂.

Ila nilichomfanya ni wazi aliandika kwenye diary yake hilo tukio kwa herufi kubwa.
 
stage hyo nkikumbka mwenyewe nacheka tu nakumbuka niliwah kumpiga anko na sturi kisa nimemwambia anko nisogezee hyo grass akanijib huna mikono nikajaa sumu kama koboko nikanyanyuka na sturi piga kichwan akatoka nduki nikafata panga nimchije kabsa akahama nyumbani baada ya siku tatu akaja nilipomuona tu nikaanza kulia pekee yang kwa hasra nikafata tena panga ikabidi nikamatwe na shule nikahamishwa
Hahaha
 
Mimi kwa wasichana nilikuwa mzito sana, na hiyo tabia bado ninayo hata sasa.

Nakumbuka niliwahi kufungiwa mlango na msichana usiku halafu akasimama mlangoni kunizuia nisitoke akilazimisha tufanye matusi😂😂😂😂😂.

Ila nilichomfanya ni wazi aliandika kwenye diary yake hilo tukio kwa herufi kubwa.
Hahaha
 
Adolescence stage ni kipindi kati ya miaka around 16 hadi 22 hivi. Ni umri wa kubalehe kwa mwanaume na kuvunja ungo kwa msichana. Kisayansi unaitwa foolish age kwa sababu kijana ndo anaachana na utoto lakini hajaufikia utu uzima vile. Yupo hapo in between. Kijana anakuwa hajitambui vizuri. Mvulana anaanza kuongea besi la ajabu ajabu, msichana ndo anakuwa na sauti nnyororo na ngozi laini, hapo ndo vijogoo vinaanza kufukuzia. Mara nyingi ndo umri ambao vijana wengi hufanya majaribio masuala ya mapenzi. Nii umri ambao kijana asipopata maelekezo, malezi na ushauri mzuri kuhusu maisha basi ni rahisi kupoteza dira na mwelekeo wa maisha yake ya baadaye. Mimi kuna vituko nikikumbuka mpaka leo nacheka sana. Kweli wazungu hawakukosea kuita foolish age.

Mimi enzi hizo nilikuwa mpole sana. Nilikuwa mwoga sana kutaniana na binti (nilikuwa domo zege ile mbaya). Ila kinyume chake nilikuwa mtu wa dini sana, kanisani kwa sana mpaka wakanipa jina la utani Mchungaji. Nilikuwa nasoma sana biblia na vitabu mbalimbali vya dini. Basi Mchungaji na viongozi wa dini walinikubali mpaka wakawa wananipa nafasi kutoa masomo mbali mbali. kusema ukweli kimaumbile nilikuwa handsome (hata leo) mwenyewe najikubali, mweupe kiasi, mrefu, si mnene wala si mwembamba, umbile la wastani. Basi wasichana wakawa wananisumbua sana ila kila anayejaribu akawa anaambulia patupu.

VITUKO AMBAVYO SITASAHAU
Moja, Nikiwa nasoma O-level, kuna binti alikuwa ananisumbua sana, ana makeke ile mbaya. Anaitwa Veronica. Siku moja nilitoroka shule kabla ya muda. Ilikuwa shule ya kutwa. Njiani nikamkuta huyo binti na yeye katoroka. Tukapiga story za hapa na pale, basi tulipofika mahali pa kuachana, mimi nimefika geto, nikamuaga. Akasema nimsubiri ana kiu apite kwangu gheto nimsaidie maji ya kunywa nikasema poa, tulivyofika nikampa maji. Alipomaliza akakaa kitandani, akavua viatu akawa anasingizia joto akaanza kufungua vifungo vya shati. Nikajifanya sioni nikageuka upande mwingine kama natafuta kitu kwenye vyombo. Akaniomba apumzike kidogo kitandani, nikasema poa lakini mi naenda kuchota maji sijui nitakukuta? Hapo najichukulia ndoo natoka. Alipoona niko serious basi akaondoka. Siku nyingine alinitukana live akaniambia mashine yangu haifanyi kazi au sina kabisa.

Tukio la pili:
Nikiwa nasoma Advance, nilikuwa na misimamo yangu hiyo hiyo: nikiwa shule bro alihamishwa kikazi, basi likizo ikabidi nimfuate,. Nilipofika jinsi nilivyo serious na kazi na shule basi mabinti wakaanza fujo zao nagomaniwa kama mpira wa kona. Walipoona siwashobokei basi wakabuni njia mpya, msichana akiwa na wenzake anawaambia kuwa KIUNGOMCHEZESHAJI ni mchumba wake. Hii ilikuwa namna ya kuwakatisha wenzake tamaa. Wakati mimi sijui hili wala lile, siku moja wakaenda kuokota kuni porini wakakutana watatu wakapigana kwa ajili yangu kila mmoja anadai mimi ni wake. Daah, kesi ikaja mtaani ilikuwa soo, bro alikuwa amesafiri kwenda Marekani shemeji ndo kabaki home, palikuwa hapatoshi. Najitetea kwa shemeji wala hanielewi. Nikawafuata wasichana wote kwa wazazi wao kuwa kuna jambo la muhimu shemeji yangu anawahitaji. Wakaja, kumbe shemeji alikuwa hajui lolote, akashtuka tu watu wamekuja nyumbani nikawakalisha, ilikuwa kesi mbaya siku hiyo mwishoni wote wakakiri kuwa walijisemea tuu. Ndo ilikuwa pona yangu siku hiyo, na Mtaani nikawa gumzo. shemeji alikuwa ameshaamua kuwa wanasitisha kunisomesha.

Tatu, na la mwisho:
Bro akahamishwa tena kikazi, na tulipofikia ikabidi apangishiwe nyumba na mwajiri. Nyumba ya Mwenye nyumba na aliyotupangishia vikawa vinapakana. Wakati huo ndo nimemaliza form six najiandaa kwenda chuo. Mwenye nyumba alikuwa ana binti yake anasoma secondari. Akaja kuniomba nimfundishe binti yake tuition ya Geography na History. Nikakubali. Siku mbili za kwanza Mzee naye alikuwepo darasani ili kujiridhisha kama niko fiti, na kweli nilikuwa vizuri akaniappreciate. Siku zilizofuata akawa ananiacha tuu niendelee na binti yake. Siku moja natoka zangu town naendesha baiskeli nikamkuta binti njiani, nikampakia tunarudi zetu home. Nilipofika kuna kisehemu kina vichaka kidogo, binti akanitekenya, daah nusura niangushe baiskeli. Akaniambia kumbe wee mwanaume una nyege. Daah nilijisikia kuweweseka aisee. Tukaendelea mbele kidogo akasema nisimame ameangusha kitu. Nikasimama, akashuka akapandisha sketi ili nione mapaja, nikamwambia iko siku utakipata cha moto.

Siku nyingine, bro na shem wote hawapo. Yeye mzee na mama wote hawapo akaniita nimfundishe tuition. Nikaenda niko serious. Nilipoanza mara akanikatisha hajaelewa point vizuri. Akasimama akaja akanishika shati, akanikumbatia kwa nguvu, topic ikabadilishwa, kama ni ndege basi gia ilibadilishiwa angani. Katikati ya mechi mara ikasikika sauti ya pikipiki, uuuuwi, kumbe baba yake anarudi. Yule binti alikuwa na akili ya fasta, aliniamrisha nitokee mlango wa uani, na kwa nje kuna baiskeli yao kwenye fensi akaniamrisha niende nayo. Akachukua materias yangu akayaficha. Kilichoniokoa ile nyumba ilikuwa na eneo kubwa na imezungukwa fensi ya michongoma, kwa hiyo nikazunguka na kupotelea upande wa pili. Baadaye nikawa narudi kana kwamba natoka mjini. Nikafika kwao nikabisha hodi nikamkuta mzee nikamsalimia. Nikamwambia nimerudisha baiskeli nilikuwa nimeazima kwenda mjini mara moja, ya kwangu ina pancha. Mmmh Sitasahau siku hiyo.
Kilichokuwa kinawindwa siyo Uhandsome wako bali Kusudi jema la Mungu ndani yako nasikitika hukupata mtu wa kukueleza hili mapema ili uzidi kujitunza kwa ajili ya utukufu wa Mungu!
 
Back
Top Bottom