THE JAGGERS
JF-Expert Member
- Apr 3, 2023
- 545
- 410
Sipati picha mlivyokua mnacheat sasa hadi kubadilishana papers ๐๐Kuna mwamba tulisoma nae magomeni alipandshaga mashetani kwenye mtihani wa mock anataka kupgana na msimamizi maana teacher nae inaonekana alikua mtu wa ndumba majini yakawa yanavutana kudadekii ilikua sio powa
Apo wa kupiga chabo wanapiga chabo wakupenda umbea kushangaa wanashangaa ile siku kilinuka sana aisee kuna teacher alipigika na jamaa ๐๐Sipati picha mlivyokua mnacheat sasa hadi kubadilishana papers ๐๐
Aisee,,nahisi huo mtihani ndo mliongoza kwa A za kutosha ๐Apo wa kupiga chabo wanaoga chabo wakupenda umbea kushangaa wanashangaa ile siku kilinuka sana aisee kuna teacher alipigika na jamaa ๐๐
h wapi mkuu vichwa maji ni vichwa maji tu ๐๐Aisee,,nahisi huo mtihani ndo mliongoza kwa A za kutosha ๐
Nakumbuka kuna watu shuleni kwetu walikua wanazimia kipindi cha mtihani wa Physics au Hesabu, yani nikikumbuka huwa nacheka sana
๐๐Hao ndo vichwa maji sasa cha kuzimia n kipi uoga au pressureNakumbuka kuna watu shuleni kwetu walikua wanazimia kipindi cha mtihani wa fizi na math๐๐๐,, yani nikikumbukaga hua nacheka sana
Hustlers never made but are born [emoji120][emoji120][emoji120][emoji3]Jamaa alikamatwa na kibom kwenye mtihani , msimamizi akawa anaenda mbele kufuata stepla ili aje abane kile kibomu na karatasi la mtihani Kama ushahidi, jamaa alitekamatwa akakikwapua kile kibomu kutoka kwa msimamizi akakimeza . Msimamizi akabaki mdomo wazi akaishia kumtimua kwenye chumba Cha mtihani Ila akashindwa kumshtaki sababu ushahidi hakuwa nao.
hahaha msimamizi atakuwa ka mind had back benchersJamaa alikamatwa na kibom kwenye mtihani , msimamizi akawa anaenda mbele kufuata stepla ili aje abane kile kibomu na karatasi la mtihani Kama ushahidi, jamaa alitekamatwa akakikwapua kile kibomu kutoka kwa msimamizi akakimeza . Msimamizi akabaki mdomo wazi akaishia kumtimua kwenye chumba Cha mtihani Ila akashindwa kumshtaki sababu ushahidi hakuwa nao.
Basi tu wapate sababu ya kufeli๐๐๐๐๐Hao ndo vichwa maji sasa cha kuzimia n kipi uoga au pressure
kwamba mlitoa bokoAa
h wapi mkuu vichwa maji ni vichwa maji tu ๐๐
๐๐Shule zilizokua magomeni unafikiri wanafunzi wake wana akili badi wanawaza viduku tukwamba mlitoa boko
Mwamba ni miyeyusho kinyama๐๐Ile siku ya mwisho ndo tumemaliza mtihani wa physics form 4 hiyo.
Msimamizi akasema mmoja ajitolee kwenda kuhakiki kama mitihani imefungwa.
Kuna jamaa yangu mmoja alikua kakaa nyuma kabisa ndo alitolea kwenda, kwanza alivaa viatu chini ni kama vina chuma hivi ilikua anapita kwa mikogo na majigambo na zile koh koh koh za viatu vyake mpaka pale mbele hadi wasimamizi nahisi walikasirika kwa ule mwendo wake wa mikogo.
Sasa huyu mwamba alikua na kigugumizi na anakuaga na wenge sometimes, ile wameuliza enhee tuambie mtihani umefungwa?? Jamaa anasema hapana haujafungwa umwfunguliwa, wakiuliza tena jamaa anakazana kua pepa limefunguliwa.
Aloo jamaa walikasirika kumbe mchizi ni wenge ti wala hakua na nia ya kuwasumbua, ila ile mikogo yake wala hawakuamini kua kakosea kwa wenge.
Bahati nzuri walimu wanaomjua wakamtetea hakulazwa bakora.