Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Mwambie umempa hiyo likizo,
Ila ni likizo ya kuretire, akirudi arudi na madai ya mafao yake, kwa sababu atakuwa ameshakuwa replaced.
Nilikua namtaftia sababu huyu kiumbe hatimae yamekuwamwambie ajaze form umpe tuu hiyo likizo
itabidi aende twisheni kabisa.Hiyo likizo mwambie aitumie kujifunza kuandika kiswahili sanifu
Wenye mahusiano mkuje huku, mnaitwa hataka San.
Eti eeeeh? Bas sawaaah.Nilikua namtaftia sababu huyu kiumbe hatimae yamekuwa
itabidi aende twisheni kabisa.
Nipo singo ndan ya mahusiano [emoji276]
Mimi mwenyewe sielewi hiyo likizo ni yaniniHaha sasa hyo likizo ili?
Eti eeeeh? Bas sawaaah.
akikupigia ujue kuna tatzo au ugomvi vinginevyo utaona tu sms kama hivyo my nipigie.Huyo My wako kila siku anaomba kupigiwa kudadeki mwambie umempa likizo isiyo na malipo miaka 2 akajifunze upya
uyu nmempiga chini jumla hafaiHi yo kali bt msimu huu wa sikukuu anakua kanipunguzia mzigo jamani daah