Kushukuru na kusema Asante Ni zawadi kubwa sana,tena ni zawadi ile inayoingia moja kwa moja Rohoni.Ahhahahahaha umenichekesha sana kwanza nakushukuru kwa msaada mkubwa wa kunijali kuanzia mwanzo mpaka mwisho na nimesimama na kuwa Demiss mpya sijui nikupe zawadi gani?
Naona umekaba kila kona[emoji8]
Nainywa tu kwa kufumba macho kama dawa za kienyeji[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hii Gahawa bila kashata?
Inapendeza na Mungu akusamehe kwa kweli.....Nimeshatubuuu kabisaaaa
Ngoja niwahi kwanza kwenye Uzalendo[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]Tuenjoy maishaaaa tu kaka angu
Hahahaaa! Huyu demiss atuletee kashata aiseeNainywa tu kwa kufumba macho kama dawa za kienyeji[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ebu ishia hapo, makali ya tunguli yanaweza kuanza kuwa na nguvu sasa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Na kweliiii kidogooo rada zikose nguvu hasaaa jana
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hahahaaa! Huyu demiss atuletee kashata aisee
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Naona umekaba kila kona
Juzi kwenye uzi wa operesheni aliouleta Zero IQ nilikuambia utaona manyoya bahati yako rada imekwama sehemu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Uchochezii ujueeee