Vituko Maishani na Demiss: Mbinu tuliyotumia kuiba sadaka Kanisani

Sikujua kama ina uwezo mdogo mkuu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Ungetumia ata Rada ya bomberdier (Jiwe) baada ya wiki tatu ungeanza kumtemesha mate na kumlisha Ndimu za kutosha.
 
Mlishaanza kupata akili za kupiga dili mapema, ile ilikuwa nyota ya ufisadi ukaamua kuizima.

[emoji2] La si hivyo leo hii ungekuwa na majengo mengi, maana wenye damu hiyo huambatana na siasa
 
Niliwahi kuiba kitabu cha muziki cha mwalimu wa nidhamu, alikuwa ndo mwalimu mkali shule nzima na ndiye alikuwa anafundisha muziki shule nzima.

Hiko kitabu alikuwa anakisifu kila mara anasema alipewa na Mwingereza, somo tulikuwa hatulipendi balaa.

Tukaweka mipango, ikabidi nichaguliwe kuwa monitor wa muda, nikawa kila Mara napeleka madaftari naweka madaftari mezani kwake ananiambia toaaa uchafu huo.

Siku ya siku kitabu kiko mezani, kama kawaida nikaweka madaftari mezani kwake halafu juu ya kile kitabu, alivyosema toaaa, nikatoa fasta na kile kitabu chake. Baadae kabla mwalimu husika hajaanza kusahihisha nikafata madaftari na kitabu.

Mwalimu alitangaza dau la shilingi elfu 8,000 ambayo ilikuwa ni ada ya term moja kwa sisi wa day kipindi hilo.

Nilimrudishia kitabu nikiwa nimemaliza form 4 na matokeo yakiwa tayari, akanipa 10,000 ya asante.
 
Ebu ishia hapo, makali ya tunguli yanaweza kuanza kuwa na nguvu sasa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hahahahahha nacheka kihutu hiiii
 
Hahahahahah mkaamua kumkomesha kwa sababu hampendi somo la mziki

Do LE mi fa so la ti d0
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…