Kuna mzee mmoja kijijini kwetu kule alikuwa na wake wawili, alipofika miaka 75 alienda kuishi peke yake , mpaka alipofikia miaka 90 ndio alihitaji msaada , alikaa na mjukuu wake mpaka miaka 124 ndio akafariki.
Aliishi single karibu miaka 50 ! Angeendelea kukaa na wake zake siju kama angetoboa mia, ingawa wake zake walimtangulia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…