Kuna watu ni Kiboko Mkuu, kuna Matapeli walitaka kumuuzia Mama mmoja toka Njombe pale Mnazi Mmoja. Sijui ilikuwaje lakini walimtoa upepo kidogo. Nadhani huwa wanakuwa na uwezo wa kuidhubaisha akili ya mtu.Ila huyu jamaa kiboko😂
Guess na wewe ni Kimodo 🤣🤣🤣
View: https://youtube.com/shorts/rJ7okqJ0CDs?si=2SMzLatV9Sp0s0xY
Hapo veepee....
Mara ooh vimbaumbau hivii, ooh vimbaumbau vile.. haya sasa...
Mshindwe wenyewe...💃💃💃
Umenaswa bro🤣🤣🤣🤣Kama huyo wa Sasa niliyenae aisee kanibana kwenye plaiz hela zinatoka tuu bila ata kulazimishwa
Acha kabisa hwa viumbe hizi mbususu zao Zina maajabu yakeUmenaswa bro🤣🤣🤣🤣
Kuna mzee mmoja kijijini kwetu kule alikuwa na wake wawili, alipofika miaka 75 alienda kuishi peke yake , mpaka alipofikia miaka 90 ndio alihitaji msaada , alikaa na mjukuu wake mpaka miaka 124 ndio akafariki.