Vituko mitandaoni. Tupia chako
Kuna marubani 11 tu duniani wanaoruhusiwa kutua na kuruka kutoka katika huu uwanja. Umezungukwa na milima na ukikosea kidogo tu mnajibamiza. Kutua ni hatari zaidi maana runway ni fupi sana na uki-abort unaishia milimani.....

20241029_072907.jpg
 
The apple was eaten by her
Why did you change the tense from present progressive to past perfective? Is it real necessary?

In the passive voice; "She is eating an apple" (present progressive tense) should be "an apple is being eaten by her" (present progressive) and not "the apple was eaten by her" (past perfective)
 
Why did you change the tense from present progressive to past perfective? Is it real necessary?

In the passive voice; "She is eating an apple" (present progressive tense) should be "an apple is being eaten by her" (present progressive) and not "the apple was eaten by her" (past perfective)
Hapo nilikuwa natest kama yule Mwalimu wangu wa English enzi za Mkoloni kama alistahili kulipwa na Kijiji kunifundisha ama tuandike barua Ubalozi wa Uingereza kuwadai Fidia 😜
 
Back
Top Bottom