moudgulf
JF-Expert Member
- Jan 23, 2017
- 142,674
- 743,909
Nilitumia za chini zaidi ya hizo.
Kuna noti ya sent 50, sh 5, sh, 10, sh 50 nk.
Nadhani wale wa miaka ya 2000 hawazijui.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilitumia za chini zaidi ya hizo.
Safi sana.JIFUNZE KWA MOURINHO🗣️
Jose Mourinho anasema nilipokuwa kocha wa Inter Milan alikuja mbele yangu mchezaji Zlatan Ibrahimovic akasema nataka kuondoka klabuni hapa ili nikashinde ubingwa wa UEFA.
"Wasaidizi wangu walihofia wakiamini kuwa hatuwezi kushinda bila yeye, hata wachezaji wenzake hawakutaka tumpoteze".
Hata mimi nilipata hofu lakini nikasema pengine ukiondoka tutashinda.
Kisha nikasema kama ataondoka tutajaribu kumsajiri Samuel Etoo ambae alikuwa anacheza Barcelona ambayo Etoo alitaka kwenda.
Niliamini kuwa Diego Milito na Etoo wanaweza kuleta kitu cha tofauti kimbinu ndani ya timu yetu.
Mazungumzo yakafanyika Ibrahimovic na Etoo wakabadilishana timu.
Ibrahimovic alidumu kwa msimu mmoja tu ndani ya Barcelona lakini Etoo alishinda mataji matatu mfululizo akiwa na Inter.
Kupitia kisa hiki tunajifunza kwamba kwenye maisha kuna wakati unatakiwa kuwaacha baadhi ya watu waondoke kwenye maisha yako hata kama unawapenda kupita maisha yenyewe....
Inawezekana Mungu amepanga ushinde makubwa ukiwa bila wao kwa sababu uwepo wao unaziba milango ya watu wengine waliobora kuja kwenye njia yako na kukusaidia kufikia malengo yako.
©JIFUNZE KUJIFUNZA
Wahunu ni watu wema sana🤣🤣
Hakuna stori bila pesa.
Punguzeni matumizi ya kisukuma maana hivi sasa mnapatikana nchi nzimaWasukuma 🏃🏿♂️🏃🏿♂️🏃🏿♂️🏃🏿♂️🏃🏿♂️
Nyama gani sasa?Nyqma..! Nyama .. ! Nyama..!!😋😋😋
Wametuchafulia mawe urais kauchukua mwingine 😳😳
Ama kweli siasa ni sayansi.Ni wazi Rais Samia ameonyesha uwezo mkubwa wa kuongooza na kuizamisha CHADEMA. Ndiyo maana nasema tusimharibie. CCM imeonyesha uwezo kufunika upinzani kwa theluji nzito ya hoja na mipango mikakati mizuri kabla na baada ya uchaguzi.
Majibu ya ChatGPT baada ya kumuuliza ukweli wa hii storiEx girlfriend wa Elon Musk alimblock Elon kwenye Twitter baada ya kupata mpenzi ,Amber Heard alimuacha Elon musk kwasababu alipata mpenzi mpya twitter ,kitendo hiki kilimkera Elon Musk akaamua kuinunua twitter Kisha akamzuia ex wake kutumia mtandao wa twitter na kuibadirisha twitter kuwa na jina la X😁😁😁😁View attachment 3139184