Safi sana.
Kupitia njia kama hizi tulishawafuta wengi.
Kuna watu hudhani wana thamani kubwa zaidi kuliko aliyetuumba.
 
Ni wazi Rais Samia ameonyesha uwezo mkubwa wa kuongooza na kuizamisha CHADEMA. Ndiyo maana nasema tusimharibie. CCM imeonyesha uwezo kufunika upinzani kwa theluji nzito ya hoja na mipango mikakati mizuri kabla na baada ya uchaguzi.
Ama kweli siasa ni sayansi.
Magufuli alitumia nguvu kuivunja Chadema, Samia anatumia sayansi kupunguza nguvu za Chadema.
Ushauri wangu kwa chadema, Mbowe awaachie wengine nao watumie maarifa yao kupeleka mbele chama hicho.
 
Majibu ya ChatGPT baada ya kumuuliza ukweli wa hii stori
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…