Mnaharibu huu uzi, Nafikiri ulitakiwa kuwa wa vituko na vichekesho Miaka ya nyuma nilikuwa nikisoma huu uzi vichrko tu Nafurahi nimerudi leo Mnapost Siasa na Masuala mengine tofauti kabisa, Kausheni Unataka kumuongelea Mbowe,Lissu,Samia,Ccm,Chadema nenda kwenye jukwaa la Politics
 
Uzi hautaharibika kwa kupostiwa utani na vibonzo vya akina Mbowe na Lissu huku. Just relax maana mambo siyo siriazi kama unavyoyataka yawe!

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…