Kha! This gender alafunutasikia wanaume mbwa π€£π€£π€£π€£
Nyeto tamu sana...imesaidia vija a wengi kutokuishia jela kwa kubaka
Siasa za Chadema ngumu.Kumbe hata Heche naye ni kituko cha mtandaoni tu. Anayeweza ni mwamba peke yake! π§
View attachment 3186264
Uzi hautaharibika kwa kupostiwa utani na vibonzo vya akina Mbowe na Lissu huku. Just relax maana mambo siyo siriazi kama unavyoyataka yawe!Mnaharibu huu uzi, Nafikiri ulitakiwa kuwa wa vituko na vichekesho Miaka ya nyuma nilikuwa nikisoma huu uzi vichrko tu Nafurahi nimerudi leo Mnapost Siasa na Masuala mengine tofauti kabisa, Kausheni Unataka kumuongelea Mbowe,Lissu,Samia,Ccm,Chadema nenda kwenye jukwaa la Politics
Ukilibonyeza akiwa na nguo zake linakuwa kama ndilo! Sasa hao ndio wale ambapo hata ukituma na ya kutolea haji kwa sababu anajua atakujaumbuka akitoa nguo. Hao mwisho wao ni kwenye vikao vya kunywa bia na kwenye kucheza muziki lakini sio kupembuana kitandani.
Lilipataje hizi namba za kisasa hili?! Nilitarajia liwe na zile namba za zamani za ki mikoa