View attachment 3225562
😉😉😍.

Mmesikika wanaume.
Tatizo mnasemaga nusu ukweli. Mbona mnajisahulisha kusema kwa hao wanawake ndio wazuri, wenye titi tako na sura zuri mpaka hayo mavazi yao yanawapendeza na kuo ekana vizuri.

Hao wenye akili hawana uzuri bwana na hatuwataki kama nyie wanawake msivyotutatak sie ambao hatuna hela
 

Hio ndo shida ya kichwa kibamia....😆😆😆🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️

Ingekuwa kichwa rungu au kichwa mtwango aka mchi kingeelewa kuwa hayo maneno yameandikwa na mwanaume na ujumbe umelenga wanawake.

Sasa mimi ni mjumbe tuu na kiherehere changu kuuleta huu ujumbe......

Kibamia umekumbwa na ukamee ama...😂😂😂😂😂.

Jokes aside, hiyo taswirabyenyewe yenye ujumbe ina mdada kapendeza simple outfit but amedamshi mbayaa.... vile tuu saa hii mwili wangu unakubali madera tuu ila hata mie nataka kuwa kama huyo binti, ila akili niwe nazo, mambo ya kuwa zero brain nawaachia wenye makalio....🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️

Wacha nikuwekee dedication ya wimbo wa Simba la Masimba, zingatia kipengele cha piga makofi ya wabunge.... halafu elewa makofi mengimengi sio makofi.....🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️😆😆😆😆.


Sasa kibamia kuweza makofi ya wabunge....🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️.

Weeeh mzab nimestaafu utani banaa, kwaheriii.


View: https://youtu.be/sc0UDKEvqfg?si=yi-Gw2V-6Jtt1kNP
Yote kwa yote mwanaume tafuta hela tuzile wanawake, usipokuwa na hela utaishia kupiga puchu ama laah usubirie kuonewa huruma....🤪🤪.

Na wanaume haohao wakizidiwa wanawagonga hata hao wanawake wabaya eeheheheheee hapana chezea upwiruuu...😂😂😂.

Kiasi cha mboga nnachofahamu, mwanamke anaweza kaa hata mwaka bila kunyanduana na akawa anaendelea na mambo yake kawaidq tuu hata awe anaonana na wanaume watanashati kila leo.
Ila mwanaume weeehh..... ukijinyima wiki lazima ndoto nyevu zikunyemelee....😂😂😂😂🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️.

Alooooh, its just a joke msinochukulie sirias tafadhali aahahahahahahaaaa 😂😂😂😂😂.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…