Kuna mada humuhumu ya IQ,Wewe unayokubwa , hongera sana!View attachment 3240348View attachment 3240349View attachment 3240350View attachment 3240355View attachment 3240366View attachment 3240367View attachment 3240368View attachment 3240370View attachment 3240371View attachment 3240373View attachment 3240377View attachment 3240381View attachment 3240383View attachment 3240385View attachment 3240387View attachment 3240390View attachment 3240393
Nafanya japo sio kwa 100%
Nafanya photographer
Nachora
Nafanya Sanaa za za mabox
Fundi vifaa vya electronics
Software za simu na
Hardware
Hivi vyote nimefanya na baadhi ndo paka Sasa vinaniweka mjini
Ndoto zangu.
Nimiliki camera kubwa ya kuanzia m1 napenda sana kupiga picha
Kwanini camera kubwa kwasababu naamini camera itabaki kuwa na thamani siku zote kwenye kupiga picha na naamini naweza kuifanya ikawa inaniingizia kipato.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Amedhihirisha kweli ni la saba na ni mjinga.Shida inaanzia kwenye kichwa cha uzi!, darasa lako la saba tu tayari unatusimanga haya ukipata hiyo kamera ya million moja si ndo utatukoa makwenzi wewe...?!!