Vituko mitandaoni. Tupia chako
1739865835860.jpg
 
  • Kicheko
Reactions: 2v1
FB_IMG_17398658103262498.jpg
FB_IMG_17398658231988476.jpg
FB_IMG_17398658786665822.jpg
FB_IMG_17398658924230170.jpg
FB_IMG_17398659052399474.jpg
FB_IMG_17398659129926756.jpg
FB_IMG_17398659265180663.jpg
FB_IMG_17398659325900230.jpg
FB_IMG_17398659904613428.jpg
FB_IMG_17398660613815106.jpg
FB_IMG_17398661986600134.jpg
FB_IMG_17398662506176527.jpg
FB_IMG_17398663891683022.jpg
FB_IMG_17398664785910133.jpg
FB_IMG_17398664879070063.jpg
FB_IMG_17398659628447328.jpg
FB_IMG_17398658160668288.jpg

Nafanya japo sio kwa 100%

Nafanya photographer
Nachora
Nafanya Sanaa za za mabox
Fundi vifaa vya electronics
Software za simu na
Hardware

Hivi vyote nimefanya na baadhi ndo paka Sasa vinaniweka mjini

Ndoto zangu.

Nimiliki camera kubwa ya kuanzia m1 napenda sana kupiga picha

Kwanini camera kubwa kwasababu naamini camera itabaki kuwa na thamani siku zote kwenye kupiga picha na naamini naweza kuifanya ikawa inaniingizia kipato.
 
View attachment 3240348View attachment 3240349View attachment 3240350View attachment 3240355View attachment 3240366View attachment 3240367View attachment 3240368View attachment 3240370View attachment 3240371View attachment 3240373View attachment 3240377View attachment 3240381View attachment 3240383View attachment 3240385View attachment 3240387View attachment 3240390View attachment 3240393
Nafanya japo sio kwa 100%

Nafanya photographer
Nachora
Nafanya Sanaa za za mabox
Fundi vifaa vya electronics
Software za simu na
Hardware

Hivi vyote nimefanya na baadhi ndo paka Sasa vinaniweka mjini

Ndoto zangu.

Nimiliki camera kubwa ya kuanzia m1 napenda sana kupiga picha

Kwanini camera kubwa kwasababu naamini camera itabaki kuwa na thamani siku zote kwenye kupiga picha na naamini naweza kuifanya ikawa inaniingizia kipato.
Kuna mada humuhumu ya IQ,Wewe unayokubwa , hongera sana!
 
Ngoja nikwambie namba 1, wewe hujui kupiga picha, pili hapo kwenye mabox yako bado sana kiwango cha kuanza kututambia humu.
Cheki hizo camera angles hiyo art ilipochukuliwa, siku ukifika hii level hata salama hutatusalimia ewe LASABA C.
8b25255a238c63202a7b468251dfd80c.jpg

807bae281ad37a0c437db9ad04b314c3.jpg
 
Shida inaanzia kwenye kichwa cha uzi!, darasa lako la saba tu tayari unatusimanga haya ukipata hiyo kamera ya million moja si ndo utatukoa makwenzi wewe...?!!
Amedhihirisha kweli ni la saba na ni mjinga.

Anasema anafanya vitu vilivyo juu ya elimu yangu kwani anajua mimi kwa elimu yangu nimefanya kitu gani?

Kwa tabia ya kujisifia kijinga na kudharau wengine anaweza asifike mbali.
 
Back
Top Bottom