Vituko mitandaoni. Tupia chako
IMG-20250224-WA0019.jpg
 
Ndo maana wamebaki na vibamia tuu, vimechongwa weeeh kwisha habari yao.
Uwongo mtupu....mbona ulaya na marekani wanatomberna kweli kweli ila hela zao ndio zakuja kuje ga vyoo vya watoto wetu huku africa


Ila mabiringanya yako Afrika, vibamia vilivyoko Afrika vina asili ya mashariki ya mbali....🤪🤪🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️.
 
Ndo maana wamebaki na vibamia tuu, vimechongwa weeeh kwisha habari yao.



Ila mabiringanya yako Afrika, vibamia vilivyoko Afrika vina asili ya mashariki ya mbali....🤪🤪🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️.
Sawa bwana sie wenye vibamia tunasemwa sana
 
Sawa bwana sie wenye vibamia tunasemwa sana

Aahahahahaaa ushakutana na mtu anataka kitu halafu anatumia mbinu ya kukubishia huna uwezo wa kumpa kitu anataka, halafu ukibisha naweza hakatai kumbe ndo kitu alikuwa anataka...😂😂😂😂

Uliza akili yangu imewaza nini..... hivi kweli mzab ana kibamia au anatuchota tuu akili bali ana mguu wa mtoto....🤣🤣🤣🤣

Sasa akili inaniambia, mwambie kama kweli anakibamia anioneshe, na kama asiponionesha atakuwa muongo hana kibamia bali ana libiringanya...😄😄😄😄😄 am busted aahahahahahahaa🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️, akili za ugoro za Kasinde hizii.

Hebu niamke mie nikaanze kupika visheti na vitumbua vya kuuza mbagala stendi 🤪.
 
Back
Top Bottom