Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kiukweli mimi pia sijaelewa ila hisia zinaniambia anayezungumziwa kwenye hiyo barua ni pacha wako[emoji85]Nimecheka au nimekuzomea, kwahi wewe ulielewa mbona hukunyosha kidole ila ukacheka
Hahahaha njoo nikuambieKiukweli mimi pia sijaelewa ila hisia zinaniambia anayezungumziwa kwenye hiyo barua ni pacha wako[emoji85]
Sent from my VFD 301 using JamiiForums mobile app
[emoji85][emoji85][emoji85]Hahahaha njoo nikuambie
[emoji23][emoji23] Mzee kaka
[emoji2][emoji2][emoji2] hata sielewi nimuweke kundi gani![emoji23][emoji23] Mzee kaka
Ukisusa wenzio twala
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]halafu hauna adabu wala hauna hayausingizi jamani sio poaView attachment 964671
Ahahaha TAMISEMI huyu ndio atakuwa analala na mafile sasa.usingizi jamani sio poaView attachment 964671
Wapo kwenye matani,,mzaramo na msukumausingizi jamani sio poaView attachment 964671
hii ndo inaitwa changamoto
Hahaha walah umeniua mbavuWapo kwenye matani,,mzaramo na msukuma