Hivi JF haina kabisa utaratibu wa kutoa zawadi kwa watu kama Numbisa?Make mambo wanayofanya ndo yanaifanya jf izidi kun'gara na kujizolea MB za kutosha.
Cheka na Numbisa kweli hakika inaniondolea stress hata vyuma kukaza uwa nasahau kwa muda.
Hongera sana dear hilo chimbo lako ni balaa
 
Numbisa huyu jamaa anomba umcheki ana zawadi yako ya mwaka Mpya!πŸ˜€πŸ˜€
 
Naunga mkono hoja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…