Hivi JF haina kabisa utaratibu wa kutoa zawadi kwa watu kama Numbisa?Make mambo wanayofanya ndo yanaifanya jf izidi kun'gara na kujizolea MB za kutosha.
Cheka na Numbisa kweli hakika inaniondolea stress hata vyuma kukaza uwa nasahau kwa muda.
Hongera sana dear hilo chimbo lako ni balaa
Oooh basi sawa..Tatizo nipo kwenye mgomo wa anonymous forever. Shukran sana kwake kwa kutambua mchango wangu
hahah sikumanishaa hivyooo
BASATA piga ban, funga studio. Picha hii ni tofauti na maumbile ya binadamu!
Naunga mkono hoja tena ni kinyume kabisa na maumbile ya mwanaumeBASATA piga ban, funga studio. Picha hii ni tofauti na maumbile ya binadamu!
Hivi huo mkorogo au VRAMkorogo balaaView attachment 944298
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Napima.. View attachment 974117
Utoke Kayumba utategemea nini?
Hahahaahaha
Mhhh! HIVI VITEMBELEO VINGINE!!