Vituko mitandaoni. Tupia chako
Yanga kaeni pembeni aisee[emoji7]
Screenshot_2019-02-14-18-20-02.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
FAHAMU: Hii nyumba ipo wilayani Mkinga(Tanga) ambapo inaleta utata wa kidiplomasia. Chumba kimoja kipo Kenya na chumba kingine kipo Tanzania (aliposimama NW Dkt. Damas Ndumbaro). Mwenye nyumba akitaka kula mirungi anakaa nje ya nyumba upande wa Kenya na askari wa Tanzania hawamfanyi kitu.View attachment 1022141
Ahahaaa...! Acha masihara Numb. Kwamba jamaa mwenye nyumba,anapenda kuishi Tz,ila shida ni moja tu kwake sheria ya mirungi Tz? Akaamua kufanya kitu wonders,mguu mmoja kenya,mguu ingine Tz. Duuuh...! Ameua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa sababu anaeomba hatamaliza sio? Atapitia tu,atapata furaha (raha) ya alichokitaka,then anasepa? Anachokililia huyo dogo anacho mane eti?

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndiyo anacho Mane
Kwanza haondoki nacho
Halafu wanapata raha wote
Kwa hiyo wasinyimane
Au ww hauna hisia? ☆Happy☆ ♡Valentine's♡ ☆Day☆

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom