Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Me too best u hali gani?[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] halafu nimekuham best
Vile viwanda vya cherehani vimeanza kufanya kazi..
hapana mshana Jr, komeo ni lile linalofungia mlango badala ya kitasa, kisha kufuli linaweza kufungwa kwenye komeo!Komeo pia ni kufuli
[emoji120] [emoji120] [emoji120]hapana mshana Jr, komeo ni lile linalofungia mlango badala ya kitasa, kisha kufuli linaweza kufungwa kwenye komeo!
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Tuma mzee mshana daahhh huyu dada mbn ananitoa macho
Mshane ee wee tupia mm napiga hata awe jiniMmh pengine jini makhaba
Ahha wametoka wote mkuu
Pamoja sana mkuuNapenda unavyoelewa na kucheza na jokes, keep it up.
Siwapendiiiii! Hawana ladha kabisaa!
Brooo picha za namna hiyo haki ya mungu nitarudia CHAPUTA