Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakuu mtatusababishia mbavu zetu kuweka nyufa alafu mseme ni jambo la kawaida, maaana Sio kwa vituko hivi!!!!
Mshana utanilipa mbavu zangu
[emoji125] [emoji125] [emoji102] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji102] [emoji125] [emoji125]Mshana Jr
Jumatatu uka-report polisi mapema, mbavu za watu unazivunja kwa vituko vyako.
Huyo wa katikati wala hupati shida kabisa
Nakara RB ya kukukamata
Yaaa mkuu, ata mimi ckujua kumbe waifu anachat na mchepuko, nilikoma. Cku iz nabadilisha password kila sikuUkiacha simu unlocked au locked na password inajulikana wife akiikamata kama anamawivu tegemea kukuta vitu vya namna hii...
I'm sure hio kitu amepost mke wa huyo jamaa
Ndio pale nyuki anapoamua kuuza asali.
Aisee hatari sana hii
Sheikh Hilary kipozeo ndo anakwambia ukienda peponi,mwanaume unakabidhiwa mizigo kama hii 100!
Duuuhhhh ni X niniAisee hatari sana hii