Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dah hii karee,mwana kaamua ampige mnati tuuRombo hiyo, mzee yupo hoi kwa kileci hata kukaa kwenye kiti cha pikipiki ni shughuli
View attachment 587987
Kwani wewe ni mtu usiyejulikana na ulikuwemo kwenye Nissan Patrol nyeupe iliyohusika kule Dodoma?
nini hiki?Haya maumivu bora shoka kabisa
Ukikumbuka mpaka unasisimka![]()
Huyu jama ni waziri Sudan kusini
Waendeleee maana Elimu bila Malipo[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Xhikamoo kiingereza [emoji23] [emoji23] [emoji23]hahahaaaa doh..
Hahahaaa
Ila ana makinikia![]()
lugha ni ya watu hii[emoji23][emoji23]
Turbocharged Engine hii
Eti siku yako mbaya leo![]()
Tofauti ya kufikiri na kuwaza ni kama mbingu na nchi...
[emoji3] [emoji3]
Pindi unapoona kuna ngozi kidogo imejitokeza kwenye kidole halafu unaivutanini hiki?