Vituko mitandaoni. Tupia chako
FB_IMG_1549395651695.jpeg


Sent using unknown device
 
Naona mnachekelea uwazi wa dada,mama, bibi zenu mpo vizuri
Sivyo unavyofikiria ila jamaa mawazo yake yalifika mbali sana ndicho kilichonichekesha maana comment yake niliipita (sikuielewa),baada ya wewe kulalamika ndipo nikarudi nione kilichomaanishwa[emoji55] [emoji55]

Ila sorry kwa kukukwaza dada yangu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom