Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi Hawa wanawake wanadhani wanaume walioyapatia maisha wanachukuaga midoli ya Michelin men 🤣🤣🤣🤣
Tako titi tumbo
Safi Kila mtu atumie nafasi yake kwa manufaa yake mwenyewe
Kweli mbususu ni kushare tuu
Ako wapi huyu demu ana akili sana inabidi awe nke yangu
Ako wapi huyu demu
😍😍😍 Ah huyu Sasa ata nusu ya mali unamuachia mkiachana bila kinyongooooMke wake ammletea Wanawake waku sex nae nyumbani 🥶🥶🥶
Mke wa Mwanamuziki maarufu duniani Neyo awaleta Wanawake Wawili warembo ambao Kazi Yao itakua ni kujamiana na mume wake kipindi ambapo atakua ameenda kujifungua au katika kipindi chote ambacho yeye itakua shughuli nzito kukutana na mumewe
mke huyo anasema hakutaka mume wake aanze kuhangaika na Wanawake wa nje ameamua amletee mwenyewe ili arahisishe mambo
" Nilimletea Wanawake Wawili ambao ni Sexy sana warembo kweli kweli kipindi hiki Cha ujauzito mpaka siku ntajifungua. Wanawake hao walikua wanakuja wakati mume wangu akihitaji tendo kutoka kwangu . Lakini nilipojifungua na kupumzika vya kutosha Wanawake hao waliondoka na nilifanya hivo kwa sababu sikutaka mume wangu afuate nje Bora nimletee ale mwanamke ambae nimemchunguza ili asilete virusi ndani ya nyumba yangu 😁" alisema mke wa Neyo
Vp wadau hii kwenu imekaaaje ,😂View attachment 3137575
Upo wapi huo uwanja wanipe mie ndege waone navyopaisha chuma hewani bila matatizo yoyote. Wee nafasi yoteee hiyoooo ukagonge mlima basi utakuwa umenunua leseni ya urubaniKuna marubani 11 tu duniani wanaoruhusiwa kutua na kuruka kutoka katika huu uwanja. Umezungukwa na milima na ukikosea kidogo tu mnajibamiza. Kutua ni hatari zaidi maana runway ni fupi sana na uki-abort unaishia milimani.....
View attachment 3137865