Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inasemekana kuwa ilipita isikotakiwa Warusi wakadhani pengine ni li drone kutoka Ukraine wakafanya yao....
Imenichukua muda kuelewa. Kumbe umetumia aunties kwa maana ya mishangazi na siyo shangazi 😁
Wenzio waliacha Harvard, Stanford, MIT, Yale na Princeton huku wakiwa na mitaji tayari. Sasa wewe acha Yudomu uje uone 😁
atakuambia hapo ametoka kwenye marathon kwahiyo ametumia nishatiJanabi kaonekana kwenye foleni ya nyama choma. Akili za kuambiwa always changanya na zako!
View attachment 3186267
Alishasema hajala nyama tangu mwaka 2000!atakuambia hapo ametoka kwenye marathon kwahiyo ametumia nishati
hivi mbona hatoagi ushauri wowote kuhusu mbususu?🤣Alishasema hajala nyama tangu mwaka 2000!
Kamwachia masuala ya mbususu Mzabzab, wamegawana majukumu , ushauri anakwambia ipige ikija kwako ikitoka nje waachie wengine usiwe na roho mbaya ni mbususu ni yetu sote daima usiwe na upendeleo 😄😄hivi mbona hatoagi ushauri wowote kuhusu mbususu?🤣