Vituko mitandaoni. Tupia chako
Mnyamwezi huyo, utawezana naye..???!πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…

Hawanaga mapumziko hao kikilia kipenga ni hadi half time na hakuna kuomba maji eeheheheheee πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚.

Hana mambo mengi, utulize mpira tuu chenga kiasi, danadana kwa mbali, achia mashuti ya kutosha baada ya miezi tisa utakuwa na pacha 4 πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…. Jiandae dakika 90 na za nyongeza, penalti huwa haifiki hawanaga ushindani....πŸ€ΈπŸ€ΈπŸ€ΈπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒ.
Hao ndio nawapenda sasa....nipe assist nikafunge kama rodrigo wa madrid jana
 
MSHANAA gif.gif
 
x.jpg


Rais wa China akiwaaga baadhi ya watu ambao hawapo kwenye picha walioenda china kwa milioni 10 tu.
 
Back
Top Bottom