Vituko na Burudani kufuatia kuachiwa kwa Mbowe

Vituko na Burudani kufuatia kuachiwa kwa Mbowe

Kutelekeza si kuanguka. Aliwaamini wasioaminika ambao eti nao leo hawaamini:

View attachment 2140800

Hiiiiii bagosha!
Kufuatia kuachiwa huru kwa Mh. Mbowe na watuhumiwa wenzake na yaliyofuatia hadi Ikulu, kwa ujumla kumeleta furaha kubwa nchini.

Heko Samia, Mbowe na wote waitakiao mema nchi hii.

Mshindwe na mlegee enyi mliojawa na nyoyo za ufedhuli ambapo kwenu, mema ndiyo maovu na maovu ndiyo mema.

Angalia vituko hivi kujiridhisha:

View attachment 2140500

View attachment 2140501

View attachment 2140502

View attachment 2140503

Yote kheri.

Tunajenga nyumba moja.
Nchi Ngumu Hii
 
Tatizo kubwa Mkuu ni kwamba hatujui waliyoyazunhumza wawili wale kwani Sisi tulichopewa ni sehemu tu ya mazungumzo. Wale watenhenezaji wa kesi na mashahidi bila kuwasahau mashabiki wao lazima hofu iwatawale.
 
Tatizo kubwa Mkuu ni kwamba hatujui waliyoyazunhumza wawili wale kwani Sisi tulichopewa ni sehemu tu ya mazungumzo. Wale watenhenezaji wa kesi na mashahidi bila kuwasahau mashabiki wao lazima hofu iwatawale.

Walichozungumza ni faragha ila kwetu kwa sababu tunawaamini wao kama viongozi wetu, haitoshi kuzisoma nyuso zao za tabasamu kwa kuanzia au hadi tungekuwa pale kila mmoja wetu kujiridhisha?

Isititoshe si wamesema umuhimu wa maridhiano, mashirikiano, kuongea, haki na Tanzania mpya kwenye taarifa yao ya pamoja kwetu?

Kwani kweli mkuu huoni kuwa tunaondoka huku kwenye anga wenyewe wakiziita zao?

IMG_20220305_073032_979.jpg
 
Back
Top Bottom