Vituko na vioja vya wadada wa benki

Wananipenda

sent from my iPhone 7s using JamiiForum mobile app.
 
Customer kero is more pronounced in public service ila private sector wanajitahidi kwa customer care ila watumishi wanawake sehemu yeyote ni kero ila Mimi huwa sikopeshe nakuchana makavu on the spot but kama una cash let say below Laki 5 ni bora kwenda kwa wakala au mobile transactions
 
Ndio mimi ni mdada ila siwezi kumjibu mtu hovyo wala kumringia ringia mtu
Great!

Wanaofanya hivyo wengi wanakuwa hawajitambui ni nini wanafanya,hawajieshimu

post using my macbook air using jamiiforums app
 
kufahamiana na wahudumu kisiwe kigezo cha kupewa huduma ``first class``....huduma inabidi zitolewe kwa kufuata sheria na taratibu zakazi,kwa hiyo siku ukienda benki nyingine usiyofahamika utaanza kujipendekeza pendekeza ili ufahamike?,hela yangu halafu mtu aniletee pozi,mi siwezi vumilia huo ujinga ,labda ndo maana wanawafungia kwenye vile vi-cube,nahisi hata akili zao zinafungwa (kwa baadhi lkn)
 
 

Walikuwa kwenye period hao plus its possible wewe mwenyewe utakuwa una haiba ya kike, which makes for a bad combo.
 
Hao wengi wao wamepewa kazi kwa kutoa rushwa, lakini wanatuletea nyodo ambao hatuna kazi.
 
Washamba tu yan wanataka ukifika dirishan uanze kuwatetemekea utadhan ni malaika..
 
duuu teh teh teh aise ila wamezidi sana ukikaa vibaya wana kutapeli kabisa.
 
Kwa Tanzania mteja ni fala c bank c bar c mgahawani kokote hovyo 90%
Uko sahihi mkuu,hebu fikiria hata muhudumu wa bar!!!jamani hebu katizeni hapo Kenya muone tofauti iliyopo shida kubwa ninayoiona ni elimu na kupata kazi hiyo kwa mgongo wa ndugu,rafiki na mapenzi pia.
 
kuna mdada benki tela alinimind eti nimempa hela huku nimezikunja kwenye mafungu ya laki moja moja. nikamjibu ndio kazi yako kukunjua. hela zangu mwenyewe bado unitukane tena mbele za watu, shubaaaaamit
 
Zamani kabla ya utandawazi haujapamba moto, niliweka pesa nikamuomba aniangalizie salio kaniangalia kwa dharau kasema sina mda, nikasema asante kwa heri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
duuu teh teh teh aise ila wamezidi sana ukikaa vibaya wana kutapeli kabisa.
Sio wa kuwachekea, ndio maana mi nikifika hua nafuata utaratibu, nikimaliza wajibu wangu akijichanganya tuu mi hua nauzunguka mlango naenda kwa bosi

Kuna mmoja alinikera, nikamwambia ukiniona hapa mara mbili ujue nimeleta hela ambayo hata ukistaafu na ukasamehewa na mikopo hutoipata.
Nilikuwa nishachanganyikiwa,
 
Uko sahihi mkuu,hebu fikiria hata muhudumu wa bar!!!jamani hebu katizeni hapo Kenya muone tofauti iliyopo shida kubwa ninayoiona ni elimu na kupata kazi hiyo kwa mgongo wa ndugu,rafiki na mapenzi pia.
Hakuna mapenzu, wengi ngono mkuu
 
Hii inaitwa jaza ujazwe sasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila nmb mwanjelwa wanawake ma teller wezi balaaa. Yaani hawamwibii anayetoa laki tatu au tano nane wanadeal na anayetoa hela milioni moja na zaidi wakijua wazi hutahangaika kuhesabu pale kwamba utajichoresha. Wanakuchomolea elfu kumi tu basi.
Nimelizwa mara mbili jamani wafanyakazi wa benki mateller muwe na huruma hizo ni laana tu msiwe na tamaa na hela zetu.
Nmb mwanjelwa ni mojawapo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…