Eehe nasikia jana mambo yalikuwa moto huo uzi wa chini kwanini ulifutwa sasa nilipitwaa asee
Waliibiana au?
Hehehehe Money p ni chizi kaanza elimisha watu tena humu na sio kutuletea story zake zile za money penny ni nanii
Akiirudisha nishtueturejeshee avatar Yetu aiseee hii mpka uichunguze sana ndio unagundua kuwa huo ni msambwanda ...""" tunanyimana raha makusudi aiseeee
saw mkuuAkiirudisha nishtue
Giresi?Kuna siku nilifatiria uzi fulani sasa mtu wa kwanza kucomment akawa Bujibuji lakini ukienda comment ya 4 hivi mwingine akawa kamquote buji sasa tatizo hiyo quote imeandikwa Mama jj badala ya Buji nikaona haya macho na vyuma hivi isije ikawa grease yake imeisha yameshindwa kusoma vizuri!..
Lakini buji alikuwa ana Id fulani nikiikumbuka ntaitaja!
Hahahhaaaa nilipitwaje hapa jamani khaaa...
Umechaguliwa chuo cha kata umefurahi kweli ww hamnazo kabisaaaaaaa
Karibu sana dodoma me ndo nipo pale baada ya kusoma statistic na kuona sina kazi now nasoma information system security hapa udom
Hehehehe Money p ni chizi kaanza elimisha watu tena humu na sio kutuletea story zake zile za money penny ni nanii
Kwa hiyo money penny alimshauri nini yaan uzi wake ulihusu nini?
Hahahhaaaa nilipitwaje hapa jamani khaaa...
Niliona hiyo thread ila sikuifatiliza....Haahah pole ilikua ligi kule MMU. Ndo chanzo cha mleta mada kuanzisha uzi huu
Niliona hiyo thread ila sikuifatiliza....
Ila humu jf maisha ya mtu wala yasikushughulishe..kila mtu anajielewa mwenyewe na nafsi yake.
hamna hilo jipya lipo jingine nitafalifatilia!..Giresi?
Kwa kweli,bibie kaamua kuwa mshauri wa lifestyleMie wala sishughulishwi zaidi ya kula ubuyu hatujuani humu so hainipi shida
Babe ebu hii story iendeleze jamani [emoji3][emoji3]
Hiyo story natamani kuisikia ujueNani huyo alikua? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Shunie Nina hasira naomba nikupm unipe ushauriHiyo story natamani kuisikia ujue
Ukiitaja usisahau kuniita unajua sisi amabao sio wahenga humu tunatakiwa tujue mambo za wahengaKuna siku nilifatiria uzi fulani sasa mtu wa kwanza kucomment akawa Bujibuji lakini ukienda comment ya 4 hivi mwingine akawa kamquote buji sasa tatizo hiyo quote imeandikwa Mama jj badala ya Buji nikaona haya macho na vyuma hivi isije ikawa grease yake imeisha yameshindwa kusoma vizuri!..
Lakini buji alikuwa ana Id fulani nikiikumbuka ntaitaja!
Weka link jamanHuu uzi niliposoma ishu ya buji nikacoment fasta kumbe ndani kuna matukio ya wiki na miaka!..
Naanza soma comment moja moja niwajue!