Vituko ndani ya JamiiForums

Vituko ndani ya JamiiForums

IMG_20180319_085802.jpg
IMG_20180319_085826.jpg

Eehe nasikia jana mambo yalikuwa moto huo uzi wa chini kwanini ulifutwa sasa nilipitwaa asee
Waliibiana au?
 
Kuna siku nilifatiria uzi fulani sasa mtu wa kwanza kucomment akawa Bujibuji lakini ukienda comment ya 4 hivi mwingine akawa kamquote buji sasa tatizo hiyo quote imeandikwa Mama jj badala ya Buji nikaona haya macho na vyuma hivi isije ikawa grease yake imeisha yameshindwa kusoma vizuri!..
Lakini buji alikuwa ana Id fulani nikiikumbuka ntaitaja!
Giresi?
 
HAHAHAH Kikoozi mwanafunzi wa UDOM kumbe?

WAKUU MSOMENI HUYU NIMEWALETEA MUMJUE KIDOGO MAANA HUU UZI UNAMHUSU 100%


upload_2018-3-19_9-25-40.png



upload_2018-3-19_9-26-57.png




upload_2018-3-19_9-30-16.png



Umechaguliwa chuo cha kata umefurahi kweli ww hamnazo kabisaaaaaaa


Karibu sana dodoma me ndo nipo pale baada ya kusoma statistic na kuona sina kazi now nasoma information system security hapa udom
 
Jana miss natafuta alitoa uzi mtoto wake hapati haja kubwa

Kisha akaleta uzi mwingine anatafuta mume na kwamba hajawahi kuzaa so money penny akampa ushauri huo mambo yakawa motroooo majibu kwa majibu mapigo kwa mapigo mpaka uzi ukafutwa
Hehehehe Money p ni chizi kaanza elimisha watu tena humu na sio kutuletea story zake zile za money penny ni nanii
Kwa hiyo money penny alimshauri nini yaan uzi wake ulihusu nini?
 
Au ya mwanaume kujifanya mwanamke woiii kuna mwanaume ananishangaza sana humu jamani yaan mpaka kwa profile aliandika mwanaume ma avatar alikuwa anaweka mwanaume mpaka mathreads yake

Eti sasa hivi kawa mwanamke ghafla I'd ile ile kilichobadirika sasa hivi ma avatar ya kike tena ya ushungi na akiona thread za wanaume anajibebisha tena wanaume wa jf bwana ngachokaaa shunie mm hivi nyie mnaobadirika badirika ni kwamba mnatuonea wivu sisi kuwa wanawake au ndio style yenu ya kuwapiga wanaume wakware pm huko
 
Kuna siku nilifatiria uzi fulani sasa mtu wa kwanza kucomment akawa Bujibuji lakini ukienda comment ya 4 hivi mwingine akawa kamquote buji sasa tatizo hiyo quote imeandikwa Mama jj badala ya Buji nikaona haya macho na vyuma hivi isije ikawa grease yake imeisha yameshindwa kusoma vizuri!..
Lakini buji alikuwa ana Id fulani nikiikumbuka ntaitaja!
Ukiitaja usisahau kuniita unajua sisi amabao sio wahenga humu tunatakiwa tujue mambo za wahenga
 
Back
Top Bottom