Vituko ndani ya JamiiForums

Hahahhaha nipo hapa halaf kwa nini wewe na hearly sipati notification zenu yaan mpaka niingie kwa thread ndio najua mmeniquote ebu badirisheni jamani hiko mlichoweka
Hahahh hata najua me mwenyew nyuzi zangu siletewi notification zake!..
Hivi unajua babu wa warembo kabla ya ujanja alikuwa anaitwa Chrispin?. Naona unanitafutia kufukuliwa makaburi yangu buree!!.. Mtafute hearly atakusaidia fukua makaburi mie niache!!
 
Ila member's wa humu uongo walionao sijui hata kama shetani anawahitaji!!!

Kuna mwingine alileta uzi hapa akidai amemaliza masomo yake nchini China mda kurudi nyumbani Tz umefika akadai a nahitaji binti wa kula naye bata hapa bongo!!!

Kurudi kufatilia nyuzi zake za nyuma miezi michache alisema anaishi dar mazense tena alileta kisa cha yeye na mke wake, nikajiuliza huu uongo ni kwa faida ya nani!!!!!!
 
Unanisema mimi eeh
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umejuaje kama nakusema wewe lakini? Ndio nlikua nakusema wewe
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Naomba ubuyu wa huyo kule kwa kijani shoga angu
 
Nimeona sehemu nyingi tu ukinishangaa [emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi ni ke siku ile nilikuwa najoke tu na Nokia83 kwa sababu ananijua alafu anauliza mimi ke au me ndo maana nikamjibu vile wakwetu.
 
Uko vizuri kwenye kufukua makaburi [emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…