Niliposoma uzi nilijua tuu hili dongo ni lako mkuiAhahaaa si unitaje tu
Sorry wakwetu kumbe we ke kweli yule Nokia wereva alikua anakuchokoza. Nimeelewa sasa.Nimeona sehemu nyingi tu ukinishangaa [emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi ni ke siku ile nilikuwa najoke tu na Nokia83 kwa sababu ananijua alafu anauliza mimi ke au me ndo maana nikamjibu vile wakwetu.
Ni ke bwanaAfu mi najuaga we ni Me
Hahahahah money p hakuambiwa ana wivu maana ukisema kitu humu unaonekana una wivu ,,my baby ananiweka busy mpaka napitwa ubuyu loJana miss natafuta alitoa uzi mtoto wake hapati haja kubwa
Kisha akaleta uzi mwingine anatafuta mume na kwamba hajawahi kuzaa so money penny akampa ushauri huo mambo yakawa motroooo majibu kwa majibu mapigo kwa mapigo mpaka uzi ukafutwa
Hahahaha jamani ebu endelea basi ikawaje sasa akabadili I'd babu jamani mchepuko wa dada angu sakayoHahahh hata najua me mwenyew nyuzi zangu siletewi notification zake!..
Hivi unajua babu wa warembo kabla ya ujanja alikuwa anaitwa Chrispin?. Naona unanitafutia kufukuliwa makaburi yangu buree!!.. Mtafute hearly atakusaidia fukua makaburi mie niache!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Haahah pole ilikua ligi kule MMU. Ndo chanzo cha mleta mada kuanzisha uzi huu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ila member's wa humu uongo walionao sijui hata kama shetani anawahitaji!!!
Kuna mwingine alileta uzi hapa akidai amemaliza masomo yake nchini China mda kurudi nyumbani Tz umefika akadai a nahitaji binti wa kula naye bata hapa bongo!!!
Kurudi kufatilia nyuzi zake za nyuma miezi michache alisema anaishi dar mazense tena alileta kisa cha yeye na mke wake, nikajiuliza huu uongo ni kwa faida ya nani!!!!!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Au ya mwanaume kujifanya mwanamke woiii kuna mwanaume ananishangaza sana humu jamani yaan mpaka kwa profile aliandika mwanaume ma avatar alikuwa anaweka mwanaume mpaka mathreads yake
Eti sasa hivi kawa mwanamke ghafla I'd ile ile kilichobadirika sasa hivi ma avatar ya kike tena ya ushungi na akiona thread za wanaume anajibebisha tena wanaume wa jf bwana ngachokaaa shunie mm hivi nyie mnaobadirika badirika ni kwamba mnatuonea wivu sisi kuwa wanawake au ndio style yenu ya kuwapiga wanaume wakware pm huko
Hahhahah yaan siku ya kusutwa nakupita kama sikujui khaa huyo mkaka dada nabakigi kucheka tu akijibebishaNaomba ubuyu wa huyo kule kwa kijani shoga angu
Alishauri vizuri tu kwa jinsi nilivyoelewaKwa kweli,bibie kaamua kuwa mshauri wa lifestyle
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Naomba umshauri vizuri wakunyumba miss natafuta anaonekana hayuko sawaThank you kwa kunipa umama ushauri [emoji10][emoji10]
Haha mi saa nyingine nikisoma comments zake najuaga meNi ke bwana
Jichekee tu Jolie wangu ni vinachekesha au kama leo shunie mm niamue kuweka ma avatar ya kiume ila I'd hii ya shunie halaf nianze kujifanya mwanaume hakiiii sitaweza[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Halafu unaanza kutuletea nyuzi za umemfumania mkeo anagegedwa kwenye sofa zako hahaa haki ntacheka kicheko mpka mtaa wa tatu wasikieJicheked tu Jolie wangu ni vinachekesha au kama leo shunie mm niamue kuweka ma avatar ya kiume ila I'd hii ya shunie halaf nianze kujifanya mwanaume hakiiii sitaweza
Ewaaaaa hivyo hivyo au jaman wanaume wenzangu naomba mnisaidie shemeji yenu analalamika nawahi haraka kukojoa khaaaaa watu wanayaweza ndio ya huyo mkaka dada tena me nilikuwa naelewana nae sababu ya thread zake anazoleta za mastory sasa hivi nabaki kumshangaa tu kuna siku nilimquote kwahiyo umeshabadirika jinsia umeshakuwa mwanamke tena hajanijibu nikamwambia ni jf pekee wanaume wanabadirika jinsia tokana na mazingiraHalafu unaanza kutuletea nyuzi za umemfumania mkeo anagegedwa kwenye sofa zako hahaa haki ntacheka kicheko mpka mtaa wa tatu wasikie
Hahahaha jamani ebu endelea basi ikawaje sasa akabadili I'd babu jamani mchepuko wa dada angu sakayo
Mjukuu wa chifu au?Au ya mwanaume kujifanya mwanamke woiii kuna mwanaume ananishangaza sana humu jamani yaan mpaka kwa profile aliandika mwanaume ma avatar alikuwa anaweka mwanaume mpaka mathreads yake
Eti sasa hivi kawa mwanamke ghafla I'd ile ile kilichobadirika sasa hivi ma avatar ya kike tena ya ushungi na akiona thread za wanaume anajibebisha tena wanaume wa jf bwana ngachokaaa shunie mm hivi nyie mnaobadirika badirika ni kwamba mnatuonea wivu sisi kuwa wanawake au ndio style yenu ya kuwapiga wanaume wakware pm huko