Vituko ndani ya JamiiForums

Vituko ndani ya JamiiForums

Jana miss natafuta alitoa uzi mtoto wake hapati haja kubwa

Kisha akaleta uzi mwingine anatafuta mume na kwamba hajawahi kuzaa so money penny akampa ushauri huo mambo yakawa motroooo majibu kwa majibu mapigo kwa mapigo mpaka uzi ukafutwa
Hahahahah money p hakuambiwa ana wivu maana ukisema kitu humu unaonekana una wivu ,,my baby ananiweka busy mpaka napitwa ubuyu lo
 
Hahahh hata najua me mwenyew nyuzi zangu siletewi notification zake!..
Hivi unajua babu wa warembo kabla ya ujanja alikuwa anaitwa Chrispin?. Naona unanitafutia kufukuliwa makaburi yangu buree!!.. Mtafute hearly atakusaidia fukua makaburi mie niache!!
Hahahaha jamani ebu endelea basi ikawaje sasa akabadili I'd babu jamani mchepuko wa dada angu sakayo
 
Ila member's wa humu uongo walionao sijui hata kama shetani anawahitaji!!!

Kuna mwingine alileta uzi hapa akidai amemaliza masomo yake nchini China mda kurudi nyumbani Tz umefika akadai a nahitaji binti wa kula naye bata hapa bongo!!!

Kurudi kufatilia nyuzi zake za nyuma miezi michache alisema anaishi dar mazense tena alileta kisa cha yeye na mke wake, nikajiuliza huu uongo ni kwa faida ya nani!!!!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Au ya mwanaume kujifanya mwanamke woiii kuna mwanaume ananishangaza sana humu jamani yaan mpaka kwa profile aliandika mwanaume ma avatar alikuwa anaweka mwanaume mpaka mathreads yake

Eti sasa hivi kawa mwanamke ghafla I'd ile ile kilichobadirika sasa hivi ma avatar ya kike tena ya ushungi na akiona thread za wanaume anajibebisha tena wanaume wa jf bwana ngachokaaa shunie mm hivi nyie mnaobadirika badirika ni kwamba mnatuonea wivu sisi kuwa wanawake au ndio style yenu ya kuwapiga wanaume wakware pm huko
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Jicheked tu Jolie wangu ni vinachekesha au kama leo shunie mm niamue kuweka ma avatar ya kiume ila I'd hii ya shunie halaf nianze kujifanya mwanaume hakiiii sitaweza
Halafu unaanza kutuletea nyuzi za umemfumania mkeo anagegedwa kwenye sofa zako hahaa haki ntacheka kicheko mpka mtaa wa tatu wasikie
 
Halafu unaanza kutuletea nyuzi za umemfumania mkeo anagegedwa kwenye sofa zako hahaa haki ntacheka kicheko mpka mtaa wa tatu wasikie
Ewaaaaa hivyo hivyo au jaman wanaume wenzangu naomba mnisaidie shemeji yenu analalamika nawahi haraka kukojoa khaaaaa watu wanayaweza ndio ya huyo mkaka dada tena me nilikuwa naelewana nae sababu ya thread zake anazoleta za mastory sasa hivi nabaki kumshangaa tu kuna siku nilimquote kwahiyo umeshabadirika jinsia umeshakuwa mwanamke tena hajanijibu nikamwambia ni jf pekee wanaume wanabadirika jinsia tokana na mazingira
 
Au ya mwanaume kujifanya mwanamke woiii kuna mwanaume ananishangaza sana humu jamani yaan mpaka kwa profile aliandika mwanaume ma avatar alikuwa anaweka mwanaume mpaka mathreads yake

Eti sasa hivi kawa mwanamke ghafla I'd ile ile kilichobadirika sasa hivi ma avatar ya kike tena ya ushungi na akiona thread za wanaume anajibebisha tena wanaume wa jf bwana ngachokaaa shunie mm hivi nyie mnaobadirika badirika ni kwamba mnatuonea wivu sisi kuwa wanawake au ndio style yenu ya kuwapiga wanaume wakware pm huko
Mjukuu wa chifu au?
 
Back
Top Bottom