Oooh kumbeAlibadili jina tu. Ukienda nyuzi za zaman utakuta kuna akina julius,chrispin,Bubu ataka kusema etc wengi wamebadilishiwa ID
Nikisutwa nazima data nakua busy na kazi.Hahhahah yaan siku ya kusutwa nakupita kama sikujui khaa huyo mkaka dada nabakigi kucheka tu akijibebisha
Huyo huyo hivi ni jinsia gani mana anabadilika badilikaMjukuu wa chifu au?
Hahaha na wengine wanabadilika jinsia kutokana na post,post nyingine utamkuta ni mwanamke,ukienda nyingine ni mwanaumeEwaaaaa hivyo hivyo au jaman wanaume wenzangu naomba mnisaidie shemeji yenu analalamika nawahi haraka kukojoa khaaaaa watu wanayaweza ndio ya huyo mkaka dada tena me nilikuwa naelewana nae sababu ya thread zake anazoleta za mastory sasa hivi nabaki kumshangaa tu kuna siku nilimquote kwahiyo umeshabadirika jinsia umeshakuwa mwanamke tena hajanijibu nikamwambia ni jf pekee wanaume wanabadirika jinsia tokana na mazingira
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nikisutwa nazima data nakua busy na kazi.
Sexless kashajizoelea ni shemale yaanHahaha na wengine wanabadilika jinsia kutokana na post,post nyingine utamkuta ni mwanamke,ukienda nyingine ni mwanaume
Bora yule anaejiitaga sexless
Aisee inabidi dj sepetu amfanyie interview.Huyo huyo hivi ni jinsia gani mana anabadilika badilika
Kwa sasa hivi ni ke maana na avatar ni ya keHuyo huyo hivi ni jinsia gani mana anabadilika badilika
Yaan mjukuu wa chifu ananishangaza sana kipindi yupo mwanaume alikuwa mshkaji wangu sana nilikuwa nafatilia sana thread zake toka awe mwanamke ushkaji umeisha hata nikimuuliza kwahiyo umebadilika jinsia hanijibu kabisaAisee inabidi dj sepetu amfanyie interview.
Sasa hivi kawa ke mpaka kwa profile kaandika ni mwanamkeKwa sasa hivi ni ke maana na avatar ni ya ke
Jamaa alikua ana mastori ya kibabe sanah, nashangaa siku hizi au wamemnaniiiiYaan mjukuu wa chifu ananishangaza sana kipindi yupo mwanaume alikuwa mshkaji wangu sana nilikuwa nafatilia sana thread zake toka awe mwanamke ushkaji umeisha hata nikimuuliza kwahiyo umebadilika jinsia hanijibu kabisa
Kuna mtu aliwahi sema husband material ni wanajeshi sasa sijui yule braza ni Mjeda?Ila member's wa humu uongo walionao sijui hata kama shetani anawahitaji!!!
Kuna mwingine alileta uzi hapa akidai amemaliza masomo yake nchini China mda kurudi nyumbani Tz umefika akadai a nahitaji binti wa kula naye bata hapa bongo!!!
Kurudi kufatilia nyuzi zake za nyuma miezi michache alisema anaishi dar mazense tena alileta kisa cha yeye na mke wake, nikajiuliza huu uongo ni kwa faida ya nani!!!!!!
Hahahahh sasa hivi mastory ya kibabe hakuna ni kujibebisha mwanzo mwisho na kuwachekea wanaume wa jfJamaa alikua ana mastori ya kibabe sanah, nashangaa siku hizi au wamemnaniiii
Labda njia mpya ya kujiingizia kipato mjiniHahahahh sasa hivi mastory ya kibabe hakuna ni kujibebisha mwanzo mwisho na kuwachekea wanaume wa jf
Ni mlozi[emoji23] [emoji23]Kuna mtu aliwahi sema husband material ni wanajeshi sasa sijui yule braza ni Mjeda?
Tujifunze kuwa na akiba ya maneno.Ni mlozi[emoji23] [emoji23]
Sikuiz Anaitwa Cha MdekoHahahahaha bidada Yupo kula mema ya mshana tu hana habariiiiiiiii ni kubebishwa tu chezea mshana wewee [emoji23] [emoji23]
Cc Smart911
Charm decorSikuiz Anaitwa Cha Mdeko
Shukran Kwa MasahihishoCharm decor